Tabia hii ya madem walio wengi inaboa sana!

Tabia hii ya madem walio wengi inaboa sana!

wewe unafaa kwake,ila yeye hafai kwako.achana nae,mi wangu anaacha kila kitu yaani kuna vyupi hostel na hapa home vipo,tunajiachia kwa raha zetu na mwezi 11 ndoa,karibu
 
duh si umwambie asije kabisa kama unahisi anakubore kuliko kuja kusemea pembeni.
 
wee mwenyewe umempa chance hiyo sii anaona kam tayRi ni mke to be
 
Aisee..gheto kwako wapi?mm
nikikutembelea. Nko addicted kwenye kuangalia chupi hasa zilizovaliwa
zikafuliwa kisha zikatundikwa!!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hahaha kausha mkuu!
 
sasa wewe huoni utamu mtoto wa kike kuacha chupi zake mahari peupe...hiyo ni kukumbusha kuwa kila ukihitaji mambo na ukiona chupi, basi fasta unamwita geto....
 
Utakuta una mchuchu wako ila let say yupo chuo

Kwasababu mwanaume umeanza kazi na una kwako, basi huwa anakutembelea na mara nyingine analala kbs

Cha kustaajabisha sasa, utakuta anaacha chupi, sidiria, khanga au pedi hlf anaviweka sehemu vitakapoonekana kwa urahisi

Ukijaribu kuvihamisha labda uviweke kabatini anawaka kishenzi

Wanafanya hivi ili dem mwingine akija ajue una girlfriend tayari au ni ghiliba za nyani mzee tu!

Kwani unataka uwalaghai wanawake? Sasa kinachoboa kitu gani?
Unajifanya mjanja sio? Unavitoa hili mwingine akija hazivione?
Subiri umpate mchumba halafu hafiche vitu vyako hili akija mume mwingine hasivione, ndio utajua maumivu yake.
 
Back
Top Bottom