Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,668
Utakuta una mchuchu wako ila let say yupo chuo
Kwasababu mwanaume umeanza kazi na una kwako, basi huwa anakutembelea na mara nyingine analala kbs
Cha kustaajabisha sasa, utakuta anaacha chupi, sidiria, khanga au pedi hlf anaviweka sehemu vitakapoonekana kwa urahisi
Ukijaribu kuvihamisha labda uviweke kabatini anawaka kishenzi
Wanafanya hivi ili dem mwingine akija ajue una girlfriend tayari au ni ghiliba za nyani mzee tu!
Kwasababu mwanaume umeanza kazi na una kwako, basi huwa anakutembelea na mara nyingine analala kbs
Cha kustaajabisha sasa, utakuta anaacha chupi, sidiria, khanga au pedi hlf anaviweka sehemu vitakapoonekana kwa urahisi
Ukijaribu kuvihamisha labda uviweke kabatini anawaka kishenzi
Wanafanya hivi ili dem mwingine akija ajue una girlfriend tayari au ni ghiliba za nyani mzee tu!