Tabia hii ya madem walio wengi inaboa sana!

Tabia hii ya madem walio wengi inaboa sana!

Mbona hakuna tatizo kama ni wako
Siku nyingine akikuja tena atatumia hivyo
 
sidhani kama ni tatizo kama umemchagua mwenyewe but kama sivyo na stil umempa imani hadi anafanya hayo, basi wote mnamakosa
 
Wewe mademu wa bongo utawaweza wanataka umaharufu naye aseme nimeacha chupi kwa bwana angu sema ikokitu cha kawaida kwenye mapenzi kama unampenda auta onakitu cha ajabu.
 
Mkuu sidhani kama huyo
mchuchu anaweza acha hizo nguo hapo sebureni au hadhara ipi unayoisema
wewe, pia kama ni chumbani sidhani kama bi mkubwa anaweza ingia chumbani
kwako katika hali ya kawaida.

Mkuu kwa kifupi namaanisha anatundika vyupi kwenye sehemu ambayo mtu akizama chumbani kwangu anaviona straight na anaweza kuidentify kwa urahisi sana kwamba ni nguo za ndani za kike

Kuhusu bi mkubwa kuzama gheto, mama angu ananitembeleaga almost kila mwisho wa wiki na udhaifu wangu mkubwa tangu mdg ni kutotandika kitanda so huwa anazamaga kucheki kama nimebadilika
 
Kuna siku moja aliacha kanga mwenzie alivyoikuta nikamdanganya nimemnunulia atumie akiwa kwangu akatulia.

Mwingine aliacha viatu vichafu akavikuta kwenye kabati na uchafu nilijitetea mpaka tukagombana ndo nikashinda.

Ila hiyo ni security na hatimiliki.
 
Wewe kama hata kupanga tu
uwezo wako ni wa chumba kimoja asa utaweza kuhudumia mwanamke? Na kama
wewe ni mtu mzima mamako atakuwa anatafuta nini chumbani kwako?? Au
unamaanisha 'majimama'??? Mimi chumbani kwa mchuchu kuna nguo zangu
kibao... Na hajawah lalamika na kila nikienda nazikuta pale pale kama
zilinata vile. We kama umefika hapo wala usinune ila kama unaendelea
kutafta watu wengune kweli lazima uliwe shida

Umekurupuka mkuu, hebu rejea uzi wangu kwa mara nyingine tena...hakuna niliposema nimepanga chumba kimoja labda kama umejiongeza kwa interest zako mwenyewe!

Kuhusu bi mkubwa kuzama chumbani kwangu, mama angu huwa ananitembelea almost kila mwisho wa wiki na udhaifu wangu mkubwa tangu utotoni ni kutotandika kitanda so anazamaga kucheki kama nimebadilika
 
Aisee kumbe victims wa tabia hizi tuko wengi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna siku moja aliacha
kanga mwenzie alivyoikuta nikamdanganya nimemnunulia atumie akiwa kwangu
akatulia.

Mwingine aliacha viatu vichafu akavikuta kwenye kabati na uchafu
nilijitetea mpaka tukagombana ndo nikashinda.

Ila hiyo ni security na hatimiliki.

Hahaha duh! pole sana mkuu
 
Utakuta una mchuchu wako ila let say yupo chuo

Kwasababu mwanaume umeanza kazi na una kwako, basi huwa anakutembelea na mara nyingine analala kbs

Cha kustaajabisha sasa, utakuta anaacha chupi, sidiria, khanga au pedi hlf anaviweka sehemu vitakapoonekana kwa urahisi

Ukijaribu kuvihamisha labda uviweke kabatini anawaka kishenzi

Wanafanya hivi ili dem mwingine akija ajue una girlfriend tayari au ni ghiliba za nyani mzee tu!
Aisee..gheto kwako wapi?mm nikikutembelea. Nko addicted kwenye kuangalia chupi hasa zilizovaliwa zikafuliwa kisha zikatundikwa!!


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jamani wakiomba hela mnawasema, hata vyupi navyo labda yeye ndiyo raha yake kuacha kwako? mimi sioni kama kuna tatizo hapo labda kama wako wengi suala la bimkubwa hawezi kuja kama unakaa kwenye chumba kimoja na kama unavyumba zaidi ya kimoja akija si anakaa sebuleni au hivyo vyupi huwa anaviacha juu ya viti sebuleni?
 
Sawa aache kwangu lkn nivihifadhi kabatini, sio viwekwe hadharani! what if bi mkubwa akaja kunitembelea akakuta vyupi vya kike vimezagaa maghetoni...
. Bi mkubwa wako anaingia mpaka chum ani kwako?????


Mmmmh au wewe ni mama's boy
 
Mkuu kwa kifupi namaanisha anatundika vyupi kwenye sehemu ambayo mtu akizama chumbani kwangu anaviona straight na anaweza kuidentify kwa urahisi sana kwamba ni nguo za ndani za kike

Kuhusu bi mkubwa kuzama gheto, mama angu ananitembeleaga almost kila mwisho wa wiki na udhaifu wangu mkubwa tangu mdg ni kutotandika kitanda so huwa anazamaga kucheki kama nimebadilika.


Aisee kama bado unafuatiliwa na bi mkubwa mpka leo basi ni hatari sana, sijui na wala sitaki kufuatilia maisha yako ila kama bi mkubwa anaweza ingia chumbani kwako basi huyo mwanamke utakaye kuwa nae ataipata sana maana inaonekana hutakuwa na maana maamuzi wewe kama wewe. kila la heri ila ukubali kwa sasa huna hadhi ya kuwa na mchuchu maana kama vyupi tu inakuwa ishu je utaweza kumtunza kweli bila malalamiko?
 
Back
Top Bottom