Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Mi kuna Tabia yao moja hivi ndio huwa inanishangaza sana ,
"Mwanamke unakuta yuko anaongea Vizuri na shoga(Rafiki) yake ,watapika wale,watoke out lakini akiondoka tu Nyuma lazima Amng'ong'e na kumponda ,
Utakuta kapigiwa simu na Shoga (Rafiki) yake wanaongea kwa Furaha na kukaribishana lakini wakikata simu tu kila mmoja anampondea mwenzake,"
wanawake wanashangaza sana .
Tabia yao Nyingine ni ile ya Kufua Chupi na kuanika kamba ya Mbele kabisa ,hii tabia kwangu inanishangaza sana hawajui kwamba kuna mabaharia huwa wanapigia Master.
Cc zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
"Mwanamke unakuta yuko anaongea Vizuri na shoga(Rafiki) yake ,watapika wale,watoke out lakini akiondoka tu Nyuma lazima Amng'ong'e na kumponda ,
Utakuta kapigiwa simu na Shoga (Rafiki) yake wanaongea kwa Furaha na kukaribishana lakini wakikata simu tu kila mmoja anampondea mwenzake,"
wanawake wanashangaza sana .
Tabia yao Nyingine ni ile ya Kufua Chupi na kuanika kamba ya Mbele kabisa ,hii tabia kwangu inanishangaza sana hawajui kwamba kuna mabaharia huwa wanapigia Master.
Cc zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app