nalamba yote
Member
- Nov 21, 2017
- 56
- 51
- Thread starter
- #61
Bora ww umenielewa mkuu,ila kuna cku majuz kati nilipandwa na ugwadu kidogo niamke nikawarudie sema tu ilikuwa usiku sana,wakati mwingine ni bora kutokujua kitu maana ukishajua unaanza kutamani kwenda.Hajapiga,alikuwa anawahisha dawa!.
Kama sio dawa,angejibiri kwa kulala na hao kwa mara ya kwanza!