ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Hapa naziita taasisi zote za kiislamu kuanzia Bakwata, Sunni jamaat,shia n.k
Uislamu ni dini iliyojipambanua kama dininya haki na misimamo ya haki, kujali utu na heshima Kwa watu wote
Kumekuwepo mashehe wanaotoa matamko tata kuhusu masuala ya utawala Bora hapa nchi
Mfano Leo shehe Mawinda akimwakilisha mufti amesema "heri mtu akatwe kichwa" ila amani iwepo.
Hii ni kauli ya kipumbavu kutamkwa na mtu tunayemheshimu katika jamii, anabariki mtu akatwe kichwa badala ya kuishawishi kuchukuliwa Kwa sheria za nchi ikiwa ni pamoja na kuwakamata na kuwafikisha mahakamani wale wavunja amani
Shehe Mawinda amechafua taasisi kubwa kama Bakwata na uislam Kwa ujumla
Waislam wana mashehe wasomi wanaoweza kuongea mambo mema Kwa umma, Kwa Nini mkubali kuongozwa na mashehe wafedhuli kama mawinda
Uislamu ni dini iliyojipambanua kama dininya haki na misimamo ya haki, kujali utu na heshima Kwa watu wote
Kumekuwepo mashehe wanaotoa matamko tata kuhusu masuala ya utawala Bora hapa nchi
Mfano Leo shehe Mawinda akimwakilisha mufti amesema "heri mtu akatwe kichwa" ila amani iwepo.
Hii ni kauli ya kipumbavu kutamkwa na mtu tunayemheshimu katika jamii, anabariki mtu akatwe kichwa badala ya kuishawishi kuchukuliwa Kwa sheria za nchi ikiwa ni pamoja na kuwakamata na kuwafikisha mahakamani wale wavunja amani
Shehe Mawinda amechafua taasisi kubwa kama Bakwata na uislam Kwa ujumla
Waislam wana mashehe wasomi wanaoweza kuongea mambo mema Kwa umma, Kwa Nini mkubali kuongozwa na mashehe wafedhuli kama mawinda