luangalila JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 6,361 Reaction score 6,967 Apr 3, 2021 #1 SSRA ni chombo chenye mamlaka ya kusimamia mifuko ya hifadhi hapa nchini Lakini wanufaika wa hiyo mifuko ya hifadhi wengi kwa sasa wanalalamikia kutopata huduma wakati stahiki lkn chombo hiki kipo kimyaaa Yaan sijui hawapo responsible ? Sijui wana regulate nini bila kusikia end-user anafaidikaje
SSRA ni chombo chenye mamlaka ya kusimamia mifuko ya hifadhi hapa nchini Lakini wanufaika wa hiyo mifuko ya hifadhi wengi kwa sasa wanalalamikia kutopata huduma wakati stahiki lkn chombo hiki kipo kimyaaa Yaan sijui hawapo responsible ? Sijui wana regulate nini bila kusikia end-user anafaidikaje
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,869 Reaction score 29,031 Apr 4, 2021 #2 Moja ya taasisi iliyong'olewa meno katika awamu ya 5
Mlenge R I P Joined Oct 31, 2006 Posts 2,125 Reaction score 2,315 Apr 4, 2021 #3 Jino lenyewe moja, mswaki wa nini? -- Maandishi kwenye guta. Mifuko ya hifadhi ya jamii iko miwili. Mdhibiti wa Nini?
Jino lenyewe moja, mswaki wa nini? -- Maandishi kwenye guta. Mifuko ya hifadhi ya jamii iko miwili. Mdhibiti wa Nini?
Torque vs HP JF-Expert Member Joined Jan 7, 2021 Posts 1,768 Reaction score 5,087 Apr 4, 2021 #4 Mkuu wa wanyonge katesa sana watu wanaosubiri mafao yao.
M MCHEBETE JF-Expert Member Joined Mar 4, 2016 Posts 336 Reaction score 627 Apr 4, 2021 #5 Nikiangalia mzigo wangu ulioko huko Nssf ,kuuchota nashindwa huku nakufa na njaa,natamani alieleta huu utaratibu huko aliko achomwe sana
Nikiangalia mzigo wangu ulioko huko Nssf ,kuuchota nashindwa huku nakufa na njaa,natamani alieleta huu utaratibu huko aliko achomwe sana