Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete ni kama comedi

jakarason1974

Senior Member
Apr 3, 2012
103
50
Nimesikia malengo ya Taasisi hii ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation....moja ya Malengo yake ni Utawala bora.... Najiuliza na waza na cheka.... Huu Utawala bora utakao hubiriwa na hii taasisi ni wa aina gani wakati.... Wahusika hao hao ndio walioharibu uchaguzi wa zanzibar?
 
Back
Top Bottom