Database ya nini?
Ninyi/wewe mmejipangaje? Yaani mipango yenu ikoje.Kutunza na kukokotoa taarifa za kitaaluma za wanafunzi. Kuanzia siku ya kuanza darasa la kwanza hadi la saba kuendelea kuitunza kuituza. Pia iwaruhusu washikadau wengine kuangalia maendeleo ya shule kupitia mtandao.