Tetesi: Taarifa zinasema kuwa Senegal imehamisha kombe la AFCON hadi kwenye kambi yake ya kijeshi

Tetesi: Taarifa zinasema kuwa Senegal imehamisha kombe la AFCON hadi kwenye kambi yake ya kijeshi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Taarifa zinasema kuwa Senegal 🇸🇳 imehamisha kombe la AFCON hadi kwenye kambi yake ya kijeshi, ambapo sasa limewekwa katikati ya kambi hiyo. Inadaiwa kuwa CAF pamoja na Morocco watalazimika kwenda kwenye kambi ya kijeshi ya Senegal ili kulichukua.

Kwa mujibu wa vyombo vikubwa vya habari vya Afrika Magharibi, Senegal itakuwa nchi ya mwisho ya Afrika Magharibi kushinda AFCON, kwani hatua hii inaashiria mwisho wa ushiriki wa nchi za Afrika Magharibi katika mashindano hayo. Inadaiwa pia kuwa Senegal imeamua kuanzisha mashindano yake ya soka kwa nchi za Afrika Magharibi.
============
Reports says Senegal 🇸🇳 has moved the AFCON trophy to their military base, where it is now positioned at the centre of the camp. CAF and Morocco would have to go to the Senegalese military base to retrieve it.

According to major West african news outlets, Senegal will be the last West African country to win Afcon as this will mark the end of West African countries participating in Afcon and the it is determined to host it's own football competition for West African countries .

Moral Lesson: Ayyy alright like that seh.

1773950070603.jpg
 
According to major West african news outlets, Senegal will be the last West African country to win Afcon as this will mark the end of West African countries participating in Afcon and the it is determined to host it's own football competition for West African countries .
Mengine yote sawa ila hii siungi mkono
 
SENEGAL WAMENSHINDA TABIA HAHAAA
 

Attachments

  • 1773950554541.jpg
    1773950554541.jpg
    176.5 KB · Views: 4
Wamefanya vizuri ila swali ni morocco nao wakiamua kutumia jeshi kufata hilo kombe si itakua ni mkanyagano sasa. Au mwanajeshi mmoja akiamua kuwasaliti aibe hilo kombe awapelekee morocco watamlaumu nani. Hapo kuna changamaji wakuu kama sio changamoto
 
Wamefanya vizuri ila swali ni morocco nao wakiamua kutumia jeshi kufata hilo kombe si itakua ni mkanyagano sasa. Au mwanajeshi mmoja akiamua kuwasaliti aibe hilo kombe awapelekee morocco watamlaumu nani. Hapo kuna changamaji wakuu kama sio changamoto
 
NGOJENI LEO NIWATONYE YALIYOTOKEA BAADA YA AFCON

Iko hivi baada ya Senegal kubeba kombe na zile figisu zote zilizotokea ndani ya uwanja na nje ya uwanja wapo raia wengi sana wa Senegal walioshikiliwa mpaka leo hii na hili ndilo limepelekea kurudisha kombe

Watu wameshikwa kwa kesi za vurugu nje ya uwanja halafu Morocco wao wimbo wao kila siku ni kujitoa kwenye haya mashindano na ndiyo wimbo wao kila siku kuwa wao Africa ni bahati mbaya then wakabaki na watu wenu halafu kuwapiga hamuwezi na watu wenu bado wameshikiliwa jela huko sasa wewe unafikiri kama Raisi wa nchi utang'ang'ania kombe?

Kukosa lile kombe Morocco wameumia sana na wapo tayari kufanya lolote ,wamegharamia sana sana yale mashindano na mbaya zaidi walijiaminisha hakuna wakuwafunga so wakajimaliza

Kwahiyo mnayoyaona ndugu zangu ni shinikizo na nimakubaliano maalumu kati ya Morocco na Caf
 
Wamefanya vizuri ila swali ni morocco nao wakiamua kutumia jeshi kufata hilo kombe si itakua ni mkanyagano sasa. Au mwanajeshi mmoja akiamua kuwasaliti aibe hilo kombe awapelekee morocco watamlaumu nani. Hapo kuna changamaji wakuu kama sio changamoto
Lishafika watengeneze AI LA COMORO WAWAPEEEE
 
Yaani West Africa ni watu hatari sana. Pia 2027 hamtawaona wakileta team kabisa. Lah sivyo hii issue itajadiliwa AU ndo ipo. Mtsope ni mjinga sana. Katika uongozi jambo kama hilo angeliacha lipite. Napenda sana watu wa West Africa, hakuna ujinga wa Linda amani bila haki.
 
Waarabu wa Afrika huwa wanajiona wao ni bora kuliko Waafrika. Hivyo kwenye mashindano ya mpira wanataka wakati wote wawe washindi hata wasiposhinda.
Marefa wanasema huwa kwenye wakati mgumu sana wanapochezesha match kati ya hayo mataifa ya Kakazini na mataifa ya watu weusi
West Africa wamefanya vizuri sana kujitenga na Waarabu. Afrika Mashariki tuombe kuungana nao kwenye kutengeneza mashindano yetu..
 
Lishafika watengeneze AI LA COMORO WAWAPEEEE
. Ndugu wanajeshi wa cku hizi sio wa kuamin kumbuka hata sisi tuliwaamini lakin wakatusaliti. Nakumbuka zaman mwananch alikua anamheshmu mjesh sana kuna kipindi cha nyuma walimsindikiza mwanajesh wa kenya wakamkabidhi kwa uongoz wa kenya kupitia mpaka wa sirari and for sure baada ya hapo wananchi waliwatuza hao wanajesh na kila aina ya zawadi yan ilikuwa n furaha ya kweli. Lakin juz kati kuna mmoja alikuja likizo akaenda kunywa baani si zikamshka akaanza vurugu, wewewee mbona cha moto alikiona pamoja na matiktok cjui matiki taka yake alitoka baa akiwa amefungwa kama furush la mitumba. niliamin watu walisha vurugwa. Sa na senegal wasijiamini sana kwao
 
Back
Top Bottom