yuga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 371
- 255
Wana jf naomba mnisaidie hili maana naamini humu ntapata majibu sahihi.
1. Je kuna mtu amewahi kubadili taarifa zake za nida hasa majina ?
2. Je baada kubadili ilichukua muda gani hayo majina kubadilika kwenye system kias kwamba hata ukisajili line yanatokea majina yako mapya?
Msaada wenu jamani naombeni mnisaidie
1. Je kuna mtu amewahi kubadili taarifa zake za nida hasa majina ?
2. Je baada kubadili ilichukua muda gani hayo majina kubadilika kwenye system kias kwamba hata ukisajili line yanatokea majina yako mapya?
Msaada wenu jamani naombeni mnisaidie