Taarifa ya Serikali juu ya bomu kurushwa kanisani - Arusha

Taarifa ya Serikali juu ya bomu kurushwa kanisani - Arusha

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,701
Reaction score
6,936
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi alisema Serikali imechukulia shambulio hilo kuwa ni mfululizo wa mkakati wa watu wachache kupandikiza chuki za kidini miongoni mwa watanzania. "Kuna kundi la watu wachache ambao hawapendi kuona nchi yetu ikiwa na amani na wangependa kuona nchi yetu ikiingia kwenye vita ya wenyewe kwa chuki za kidini," alisema na kuongeza kuwa Naibu wake, Perreira Ame Silima yuko Arusha kufuatilia suala hilo na kikosi cha kupambana na ugaidi kimeondoka Dar es Salaam kwenda Arusha kusaidia uchunguzi wa tukio hilo.

Source: Mwananchi, 6/5/2013, ukurasa wa 4.

Maswali:
1. Nchimbi amejuaje kuwa ni mkakati wa watu wachache na sio wengi? Kufahamu idadi ya watu hao sio kuwa anawafahamu na watu wenyewe?
[video=youtube_share;BaJHhlIdXK8]http://youtu.be/BaJHhlIdXK8[/video]

2. sasa uchunguzi wa nini wakati watu wanafahamika?
[video=youtube_share;BaJHhlIdXK8]http://youtu.be/BaJHhlIdXK8[/video]
3. Kumbe kikosi cha kupambana na ugaidi kiko Dar es Salaam peke yake?

4. Mbona picha nyingi kwenye magazeti zinaonesha wachunguzi wenyewe hawana vifaa vyovyote vile vya kusaidia macho yao?
 
Maswali: 1.[B said:
Nchimbi amejuaje kuwa ni mkakati wa watu wachache na sio wengi? Kufahamu idadi ya watu hao sio kuwa anawafahamu na watu wenyewe?[/B]
[video=youtube_share;BaJHhlIdXK8]http://youtu.be/BaJHhlIdXK8[/video]

2. sasa uchunguzi wa nini wakati watu wanafahamika?
[video=youtube_share;BaJHhlIdXK8]http://youtu.be/BaJHhlIdXK8[/video]

3. Kumbe kikosi cha kupambana na ugaidi kiko Dar es Salaam peke yake?

4. Mbona picha nyingi kwenye magazeti zinaonesha wachunguzi wenyewe hawana vifaa vyovyote vile vya kusaidia macho yao?

Labda Nchimbi ni mmojawao hao; ninavyomfahamu yeye sio mpelelezi; amewajuaje?
 
Nchimbi haaminiki jamani yupo kwenye dili la kuteswa kwa Kibanda na video ya Lwakatare, rejea thred ya Sanane, Ben.
 
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi alisema Serikali imechukulia shambulio hilo kuwa ni mfululizo wa mkakati wa watu wachache kupandikiza chuki za kidini miongoni mwa watanzania. "Kuna kundi la watu wachache ambao hawapendi kuona nchi yetu ikiwa na amani na wangependa kuona nchi yetu ikiingia kwenye vita ya wenyewe kwa chuki za kidini," alisema na kuongeza kuwa Naibu wake, Perreira Ame Silima yuko Arusha kufuatilia suala hilo na kikosi cha kupambana na ugaidi kimeondoka Dar es Salaam kwenda Arusha kusaidia uchunguzi wa tukio hilo.

Source: Mwananchi, 6/5/2013, ukurasa wa 4.

Maswali:
1. Nchimbi amejuaje kuwa ni mkakati wa watu wachache na sio wengi? Kufahamu idadi ya watu hao sio kuwa anawafahamu na watu wenyewe?
[video=youtube_share;BaJHhlIdXK8]

2. sasa uchunguzi wa nini wakati watu wanafahamika?
[video=youtube_share;BaJHhlIdXK8]http://youtu.be/BaJHhlIdXK8[/video]
3. Kumbe kikosi cha kupambana na ugaidi kiko Dar es Salaam peke yake?

4. Mbona picha nyingi kwenye magazeti zinaonesha wachunguzi wenyewe hawana vifaa vyovyote vile vya kusaidia macho yao?

Naaaaam!!! Huyu akikamatwa nitakaa na kutafakari juu ya serikali yangu ya Kikwete. Hivi tujiulize kwamba kwanini mambo haya yameshamiri kipindi hiki cha Kikwete na huko nyuma hapakuwepo hali kama hii??? What does it mean???
 
naaaaam!!! Huyu akikamatwa nitakaa na kutafakari juu ya serikali yangu ya kikwete. Hivi tujiulize kwamba kwanini mambo haya yameshamiri kipindi hiki cha kikwete na huko nyuma hapakuwepo hali kama hii??? What does it mean???

wewe ulikuwa bado umelala ndo umeamka sasa hivi. Kimbelembele chenu kusema tuna madini, mafuta, gesi na uranium, kitatusababishia vifo. Halafu tunadanganywa udini kumbe si chochote
 
Jamani sio ubishi wala nini, udini upo tanzania na uliasisiwa na CCM wenyewe. Kumbuka mwaka 2000 wakati wa kampeni, CCM katika kujinadi kwao waliiponda sana CUF na kusema ni chama cha kiislamu na walifanikiwa kuiua CUF. MWAKA 2010 WAKAKIANDAMA SANA SANA chadema KWAMBA NI CHAMA KIKRISTO NA WAKADHIRIKI KUSEMA DK sLAA AMETUMWA NA KANISA. SASA LEO HII HATA KUKIWA NA UDINI SERIKALI HII YA ccm ITAMLAUMU NANI? Kumbukeni tena yaliyotokea igunga wakati wa uchaguzi mdogo baada ya rostam kujiuzulu, CCM wwalivalia sana njuga lile suala la mkuu wa wilaya na kudhiriki kusema eti CHADEMA wameudhalilisha uislamu. Mambo mengi ya uislamu yameratibiwa sana ktk chuo kikuu cha dodoma leo mnataka kutudanganya eti hamna udini? Mapadre kuuawa, makanisa kuchomwa, mpaka hilo la arusha bado mnataka kutudanganya eti hamna udini? CCMwaliasisi chanzo cha udini na haki amungu naomba dhambi hii iwatafune CCM WENYEWE. Kwanza subirini uchaguzi wa mwaka 2015 ndio mtajua tanzania kuna udini au hamna udini! Viongozi wa serikali waache kujifanya hawana akili ya kulitatua hili! CCM kwa hili hamtapona hata kidogo! Angalia hata uongozi wa CCM , Umetawaliwa na waislamu ndio maana hawana uchungu na yanayowakumba wkristo ktk uchomaji wa makanisa na hata kuuawa kwa wachungaji! Lakini angelikua ni shehe au ni misikiti imechomwa ungeliona mambo serikali ingeliyafanya! Ktk hili CCM hawana pa kukimbilia, ila ijulikane kwamba uislamu kwa ujumla sio tanzania na CCM sio tanzania. CCM itapita na uislamu utapita ila tanzania itabaki bila CCM nA PIA BILA UISLAMU.
 
Tumefika hapa kwa sababu ya udhaifu wa serikali ya CCM, haikubariki kwa wananchi imetumia udini kupata uhalali wa kuingia madarakani, sasa tunaona resuts!!!
 
Comanding officers wengi ktk polisi,Tiss na ccm ni waislam hata jk ni mwislam, hivyo jambo lolote litakalohusu uislam ni lazima wasubiri kwanza lifanikiwe ndio wajitokeze kusema na wanahabari, ndivyo walivyozoea maisha yao yote madarakani wanafanya delaying tactic kama vile kuuawa kwa padri zanzibar, kuchomwa makanisa nk.IGP wa ccm ni mwepesi sana kugundua uvunjifu wa amani ktkt maandamano ya CDM lakini Interijensia hiyo ktk maisha ya watu imekufa haipo angejiuzuru akawe muumini, kazi ya kulinda watu na mali zao ni ngumu kwa serikali ya ccm.
 
Tuangalie tulipo jikwaa tusitapetape tu, ingawa yeye ndio rais (kikwete) lkn yeye siyo serikali yote, kama ni ukristo unahujumiwa basi tuwahusishe na kina pinda, nchimbi, manumba na rpc wa arusha pia
 
Everything rises of falls depending on leadership. Tanzania hakuna viongozi kuna waganga njaa
 
Mie kwanza nasema hivi haya yote rais wa jamhuri ya muungano kikwete anawafahamu hata yeye ni miongoni mwao hawa watu wanaofanya haya,kwa sababu zifuatazo.
1) kwa sababu kila anapokuwa nasafari za nje ndio haya mambo yanatokea ili yeye aonekane hahusiki kabisa,mbona hayatokei akiwepo.
2) alipouliwa afisa wa polisi mwanza uliona jamaa walivyokamatwa mapema
3)kama ni viongozi wa dini kwanzia mapadre,wachungaji,mashekhe wala hakuna kinachofanyika.
Angalia kwanza kuhusu matukio ya kuchomwa makanisa wahusika umeona adhabu walizopewa kama nchi haina uongozi wowote,hapa wanasubiri siku moja bomu lipigwe ubalozi wa marekani ili waje kuchumguza kwa kutumia jeshi lao /kama walivyofanya iraq ili wachukue mali zao.ndio maana viongozi wana ziara nyingi za nje wanatafuta sehemu yakuja kwenda baada ya nchi kuiweka kwenye machafuko.lkn wakae wakijua yanayowakuta waliosababisha fujo rwanda na burundi hata wao yatawakuta tu,mie naona plani zao zitakuwa wrong watarudi kushitakiwa kwa wanayoyafanya na kuyapuzia.huu ulimwengu wewe ulishakuwa mdogo sana huna sehemu ya kujificha watu wasikutoe.watakutoa tu.utakimbia kama mie sintokufa nikiwa kiongozi yule aliyekuficha siku akitaka tena mali hapa nchini ,ataniahidi kukutoa wewe ili apate mali ntampa madini ili wewe mnikurudishe hapa bongo theni ndio utanitambua kuwa kweli usaliti ni kitu mbaya sana.kikwete ndio anayepanga haya.
 
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi alisema Serikali imechukulia shambulio hilo kuwa ni mfululizo wa mkakati wa watu wachache kupandikiza chuki za kidini miongoni mwa watanzania. "Kuna kundi la watu wachache ambao hawapendi kuona nchi yetu ikiwa na amani na wangependa kuona nchi yetu ikiingia kwenye vita ya wenyewe kwa chuki za kidini," alisema na kuongeza kuwa Naibu wake, Perreira Ame Silima yuko Arusha kufuatilia suala hilo na kikosi cha kupambana na ugaidi kimeondoka Dar es Salaam kwenda Arusha kusaidia uchunguzi wa tukio hilo.
Source: Mwananchi, 6/5/2013, ukurasa wa 4.
Maswali:
1. Nchimbi amejuaje kuwa ni mkakati wa watu wachache na sio wengi? Kufahamu idadi ya watu hao sio kuwa anawafahamu na watu wenyewe?
2. sasa uchunguzi wa nini wakati watu wanafahamika?
3. Kumbe kikosi cha kupambana na ugaidi kiko Dar es Salaam peke yake?
4. Mbona picha nyingi kwenye magazeti zinaonesha wachunguzi wenyewe hawana vifaa vyovyote vile vya kusaidia macho yao?
UNAJUA SWALA LA UDINI LIPO SANA HAPA TANZANIA..SASA NAONA WANAJARIBU KUNEUTRALISE ETI WANASEMA ALIYERUSHA BOMU ANAITWA VICTOR AMBROSE..KWA WENYE AKILI TUNAELEWA WANATAKA KUNEUTRALISE HII ISHU ISIONEKANE YA KIDINI...TACTIC NZURI, LAKINI, MPAKA LINI TUTAKUWA TUNAJARIBU KULAUMU WATU AU KUTAFUTA SABABU NYINGINE WAKATI SABABU INAFAHAMIKA NI MPASUKO WA KIDINI TZ? INGIA OFISI YOYOTE SAIVI UTAWASKIA ILE SALAMU YAO..AU LAZMA AKUPIGE JICHO FLAN,,YANI INATIA AIBU..YANI NA TUKILILEA HILI SUALA BILA KULIWEKA WAZI,,TARATIBU MIZIZI INAENDELEA KUKUA....ni hayo tu.
 
Mie kwanza nasema hivi haya yote rais wa jamhuri ya muungano kikwete anawafahamu hata yeye ni miongoni mwao hawa watu wanaofanya haya,kwa sababu zifuatazo.
1) kwa sababu kila anapokuwa nasafari za nje ndio haya mambo yanatokea ili yeye aonekane hahusiki kabisa,mbona hayatokei akiwepo.
2) alipouliwa afisa wa polisi mwanza uliona jamaa walivyokamatwa mapema
3)kama ni viongozi wa dini kwanzia mapadre,wachungaji,mashekhe wala hakuna kinachofanyika.
Angalia kwanza kuhusu matukio ya kuchomwa makanisa wahusika umeona adhabu walizopewa kama nchi haina uongozi wowote,hapa wanasubiri siku moja bomu lipigwe ubalozi wa marekani ili waje kuchumguza kwa kutumia jeshi lao /kama walivyofanya iraq ili wachukue mali zao.ndio maana viongozi wana ziara nyingi za nje wanatafuta sehemu yakuja kwenda baada ya nchi kuiweka kwenye machafuko.lkn wakae wakijua yanayowakuta waliosababisha fujo rwanda na burundi hata wao yatawakuta tu,mie naona plani zao zitakuwa wrong watarudi kushitakiwa kwa wanayoyafanya na kuyapuzia.huu ulimwengu wewe ulishakuwa mdogo sana huna sehemu ya kujificha watu wasikutoe.watakutoa tu.utakimbia kama mie sintokufa nikiwa kiongozi yule aliyekuficha siku akitaka tena mali hapa nchini ,ataniahidi kukutoa wewe ili apate mali ntampa madini ili wewe mnikurudishe hapa bongo theni ndio utanitambua kuwa kweli usaliti ni kitu mbaya sana.kikwete ndio anayepanga haya.

SAWA,INGIA CHUMBA KILEE KAPIME AKILI !

Kuna mwingine?
 
Mie kwanza nasema hivi haya yote rais wa jamhuri ya muungano kikwete anawafahamu hata yeye ni miongoni mwao hawa watu wanaofanya haya,kwa sababu zifuatazo.
1) kwa sababu kila anapokuwa nasafari za nje ndio haya mambo yanatokea ili yeye aonekane hahusiki kabisa,mbona hayatokei akiwepo.
2) alipouliwa afisa wa polisi mwanza uliona jamaa walivyokamatwa mapema
3)kama ni viongozi wa dini kwanzia mapadre,wachungaji,mashekhe wala hakuna kinachofanyika.
Angalia kwanza kuhusu matukio ya kuchomwa makanisa wahusika umeona adhabu walizopewa kama nchi haina uongozi wowote,hapa wanasubiri siku moja bomu lipigwe ubalozi wa marekani ili waje kuchumguza kwa kutumia jeshi lao /kama walivyofanya iraq ili wachukue mali zao.ndio maana viongozi wana ziara nyingi za nje wanatafuta sehemu yakuja kwenda baada ya nchi kuiweka kwenye machafuko.lkn wakae wakijua yanayowakuta waliosababisha fujo rwanda na burundi hata wao yatawakuta tu,mie naona plani zao zitakuwa wrong watarudi kushitakiwa kwa wanayoyafanya na kuyapuzia.huu ulimwengu wewe ulishakuwa mdogo sana huna sehemu ya kujificha watu wasikutoe.watakutoa tu.utakimbia kama mie sintokufa nikiwa kiongozi yule aliyekuficha siku akitaka tena mali hapa nchini ,ataniahidi kukutoa wewe ili apate mali ntampa madini ili wewe mnikurudishe hapa bongo theni ndio utanitambua kuwa kweli usaliti ni kitu mbaya sana.kikwete ndio anayepanga haya.


Mkuu hapo kwenye blue.

Nimelitafakali sana hili jambo jana baada ya tukio la Arusha.

Kwanini takribani majanga makuu yote kama sio 90% basi ni mia yanapotokea yeye huwa nje napata mashaka makubwa

sana kwamba kunauwezekano mkubwa wa yeye kikwete kuwa sehemu ya hizi hujuma.
 
Mmm Tanzania bila udini inawezekana.
 
Jamani sio ubishi wala nini, udini upo tanzania na uliasisiwa na CCM wenyewe. Kumbuka mwaka 2000 wakati wa kampeni, CCM katika kujinadi kwao waliiponda sana CUF na kusema ni chama cha kiislamu na walifanikiwa kuiua CUF. MWAKA 2010 WAKAKIANDAMA SANA SANA chadema KWAMBA NI CHAMA KIKRISTO NA WAKADHIRIKI KUSEMA DK sLAA AMETUMWA NA KANISA. SASA LEO HII HATA KUKIWA NA UDINI SERIKALI HII YA ccm ITAMLAUMU NANI? Kumbukeni tena yaliyotokea igunga wakati wa uchaguzi mdogo baada ya rostam kujiuzulu, CCM wwalivalia sana njuga lile suala la mkuu wa wilaya na kudhiriki kusema eti CHADEMA wameudhalilisha uislamu. Mambo mengi ya uislamu yameratibiwa sana ktk chuo kikuu cha dodoma leo mnataka kutudanganya eti hamna udini? Mapadre kuuawa, makanisa kuchomwa, mpaka hilo la arusha bado mnataka kutudanganya eti hamna udini? CCMwaliasisi chanzo cha udini na haki amungu naomba dhambi hii iwatafune CCM WENYEWE. Kwanza subirini uchaguzi wa mwaka 2015 ndio mtajua tanzania kuna udini au hamna udini! Viongozi wa serikali waache kujifanya hawana akili ya kulitatua hili! CCM kwa hili hamtapona hata kidogo! Angalia hata uongozi wa CCM , Umetawaliwa na waislamu ndio maana hawana uchungu na yanayowakumba wkristo ktk uchomaji wa makanisa na hata kuuawa kwa wachungaji! Lakini angelikua ni shehe au ni misikiti imechomwa ungeliona mambo serikali ingeliyafanya! Ktk hili CCM hawana pa kukimbilia, ila ijulikane kwamba uislamu kwa ujumla sio tanzania na CCM sio tanzania. CCM itapita na uislamu utapita ila tanzania itabaki bila CCM nA PIA BILA UISLAMU.

Mkuu,
Mbona kwenye bandiko lako hujataja hata msikiti mmoja tu uliyochomwa moto ama kuharibiwa katika kipindi hiki ?

Utakuwa na matatizo tu weweee, Kazi ya kichwa sio kufuga nywele tu na wala usifikirie kwa masaburi uwe fair maana hata wewe mwenyewe hapo umeshaonyesha UDINI wa hali ya juu !
 
Mkuu hapo kwenye blue.

Nimelitafakali sana hili jambo jana baada ya tukio la Arusha.

Kwanini takribani majanga makuu yote kama sio 90% basi ni mia yanapotokea yeye huwa nje napata mashaka makubwa

sana kwamba kunauwezekano mkubwa wa yeye kikwete kuwa sehemu ya hizi hujuma.
Kuna kundi la watu watakuwa wana-mcontrol remotely. Sasa linapotaka kufanya kazi zake, nadhani huwa hataki kuonekana anahusika, so inabidi awe nje safarini. JK kama JK sidhani kama anahusika, ila kundi kubwa lenye influence tena lenye nguvu zenye kuweza hata kumtoa madarakani muda wowote. Si unajua hivi vinchi vyetu resource kibao, lakini ujasiri hatuna wa kulinda. JK anachofanya ni kuwachonganisha hayo makundi, mfano mkubwa ni China na USA, hiyo mikataba 17 iliyosainiwa kwa mbwembwe sidhani kama USA walifurahia.
 
Nchi ilikabidhiwa kwa mashetani na hizi ndizo gharama zake yaani kafara.
Mungu atusaidie tu Watanzania.
 
Back
Top Bottom