LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Kazi ya Bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali katika utendaji wake.
Kwa kuzingatia hayo:-
Taarifa ya Mwakyembe ilitakuwa kutoa maelekezo yatakayosaidia kuzuiya tukio kama hilo kujirudia kwa kutunga sheria au kanuni. Badala yake walijikita katika kushambulia watu binafsi bila kujali kuwa kilichopelekea watu hao kutenda yale makosa ni mapungufu katika sheria. Matokeo yake Tatizo kama hilo la Richmond na mengine mengi huenda likajitokeza siku za usoni kwani mpaka sasa hakuna sheria inayoibana serikali dhidi ya maamuzi ya aina hiyo. Kwa mfano tayari bunge lililopita tuliambiwa serikali ipo katika mkakati wa kukodi mitambo ya dharura.
Kwa kuzingatia hayo:-
Taarifa ya Mwakyembe ilitakuwa kutoa maelekezo yatakayosaidia kuzuiya tukio kama hilo kujirudia kwa kutunga sheria au kanuni. Badala yake walijikita katika kushambulia watu binafsi bila kujali kuwa kilichopelekea watu hao kutenda yale makosa ni mapungufu katika sheria. Matokeo yake Tatizo kama hilo la Richmond na mengine mengi huenda likajitokeza siku za usoni kwani mpaka sasa hakuna sheria inayoibana serikali dhidi ya maamuzi ya aina hiyo. Kwa mfano tayari bunge lililopita tuliambiwa serikali ipo katika mkakati wa kukodi mitambo ya dharura.