Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Leo tarehe 12/4/2017 muda huu saa tano na dk 50.
Gari la NBS kutoka Tabora kwenda Kigoma. Basi hili limejaza kupita kiasi na abiria hawasikilizwi.
Kwa sasa gari ndio limetoka Kaliua kuelekea Usinge. Abriria waliosimama ni zaidi ya waliokaa.
Askari wa barabarani hawajachukua hatua yoyote.
Jamani tusisubiri kutangaziwa ajari na wakati tunaweza kuzuia.
Asante.
Taarifa hii nimeituma kwa RTO Kigoma na Tabora
Gari la NBS kutoka Tabora kwenda Kigoma. Basi hili limejaza kupita kiasi na abiria hawasikilizwi.
Kwa sasa gari ndio limetoka Kaliua kuelekea Usinge. Abriria waliosimama ni zaidi ya waliokaa.
Askari wa barabarani hawajachukua hatua yoyote.
Jamani tusisubiri kutangaziwa ajari na wakati tunaweza kuzuia.
Asante.
Taarifa hii nimeituma kwa RTO Kigoma na Tabora