Tee Rex
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 661
- 730
- Thread starter
- #21
Hakuna kitu kama hiko kuna habari nyingi sana na kuna matukio mengi yametokea eg. morogoro kumetokea mauajiSasa kama ndizo zimetokea sana ukitaka waweke zipi... yaani ninyi msipoona taarifa ya upande ule basi siku hiuo hamhesabu kama kuna taarifa imesomwa