Taarifa ya BAVICHA kuhusu Mikutano ya CCM Dodoma

Taarifa ya BAVICHA kuhusu Mikutano ya CCM Dodoma

Bavicha bhana!!! Wanakaa kimyaaaa siku wakiibuka utasikia operation, maandamano oh kupambana Na polisi. I wish ningepata fursa ya kutafiti IQ ya vijana 5000 waliosemekana kuwa tayari kwenda Dodoma .
Akili yako haitoshi kufanya utafiti...mbaya zaidi, kutafiti IQ za watu. Mimi nitakwambia kwa nini.

Hivi karibuni limetoka katazo la harakati zote za kisiasa kwa upande wa upinzani. Kwa katazo hilo, ulitaka BAVICHA uwaonee uwani kwako wakija kukusaidia kuanika nguo kwenye kamba? Hiyo ndio IQ yako...unataka kuchunguza wenzio!
 
Akili yako haitoshi kufanya utafiti...mbaya zaidi, kutafiti IQ za watu. Mimi nitakwambia kwa nini.

Hivi karibuni limetoka katazo la harakati zote za kisiasa kwa upande wa upinzani. Kwa katazo hilo, ulitaka BAVICHA uwaonee uwani kwako wakija kukusaidia kuanika nguo kwenye kamba? Hiyo ndio IQ yako...unataka kuchunguza wenzio!
Hapo umemjibu nini zaidi ya kutapika tu
 
Bavicha mmekua kama mtoto wa kambo, kila siku mnaonewa nyie. Hamjiulizi labda kuna kitu mnafanya sivyo kinachosababisha hiyo hali.
Ujue Dada yangu kukaa kimya pia busara sio kuropoka .Humu tunajadiri hoja sio ushambenga na mpiasho. We hujaona hoja kabisa hapo? Hopeless lady
 
Freedom of speech, that is my opinion and I am entitled to it like you are entitled to yours.

Siwezi kukubaliana na kila unachoamimi kwa vile tu wewe unaamini hivyo. Si vizuri kufuata rai ya mtu kibubusa na sifuati rai kwenye hiyo taarifa kibubusa.

I am keeping in mind that even freedom has limits.
Grammar yenyewe shida. Hicho kiingereza au kinyiramba?
 
Freedom of speech, that is my opinion and I am entitled to it like you are entitled to yours.

Siwezi kukubaliana na kila unachoamimi kwa vile tu wewe unaamini hivyo. Si vizuri kufuata rai ya mtu kibubusa na sifuati rai kwenye hiyo taarifa kibubusa.

I am keeping in mind that even freedom has limits.
Kiingereza chenyewe tatizo
 
Hahahahaha Bavicha bhana nilidhani mtapingana na mwenye chama!
 
Chama kinachotegemea kukandamiza wengine kwa kutumia Polisi badala ya support ya nguvu ya umma ni aibu kwao.
Ni sawa na bondia anayefurahia ushindi huku mpinzani wake kafungwa mikono kwa nyuma.
Halafu jf kuna watu wanakuja kubana pua nywi nywi nywi kutoliona hilo. Xy#@z
 
Freedom of speech, that is my opinion and I am entitled to it like you are entitled to yours.

Siwezi kukubaliana na kila unachoamimi kwa vile tu wewe unaamini hivyo. Si vizuri kufuata rai ya mtu kibubusa na sifuati rai kwenye hiyo taarifa kibubusa.

I am keeping in mind that even freedom has limits.
madam
 
Freedom of speech, that is my opinion and I am entitled to it like you are entitled to yours.

Siwezi kukubaliana na kila unachoamimi kwa vile tu wewe unaamini hivyo. Si vizuri kufuata rai ya mtu kibubusa na sifuati rai kwenye hiyo taarifa kibubusa.

I am keeping in mind that even freedom has limits.
Kakuelewa huyo mduanzi
 
Back
Top Bottom