Taarifa ya Bakhresa Group kuhusiana na Upotevu wa Makontena

Mkuu umeni mention kwa quote ipi?
 

swali bado lipo.....waulize tra na bakheresa
 
Acha chuki binafsi kampuni imekanusha tusubili selikali itsemaje sio sisi kuhukum
 
Ivi tunapo kuwa tunajadili ishu inayo husu taifa letu mkaleta udini mnakuwa na maana gani msitake kuingiza nchi kwenye mapande mapande maana post nyingi zinazo mjadili bakharesa unaona wazi kuwa zina udini ndani yake sio vizuri tukiwajadili kama wafanya biashara tuwajadili hivyo saio kwa imani zao akiguswa mfanyaboashara mkristo au mwislamu tujadili biashara zao sio imani zao tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…