Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,975
- 50,073
Nashawishika kuuliza hivyo kwakuwa naona Priva ni kama rasmi sasa ameshika mikoba ya usemaji wa Club.
Je amefungiwa? Kama amefungiwa taarifa itatolewa lini?
Au wanasubiri taarifa ya bodi ya ligi kuhusu Derby? Ili wazitoe kwa pamoja ili taarifa moja itumike kufunika taarifa nyingine?
Soma Pia:
Je amefungiwa? Kama amefungiwa taarifa itatolewa lini?
Au wanasubiri taarifa ya bodi ya ligi kuhusu Derby? Ili wazitoe kwa pamoja ili taarifa moja itumike kufunika taarifa nyingine?
Soma Pia:
- Ally Kamwe: Habari za kufungiwa sio za kweli TCRA washughulikie taarifa kama hii
- Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF