Taarifa: Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassimu Majaliwa Afanya Mazungumzo na Mbunge wa Viti Maalumu Mheshimiwa Esther Matiko

Free stupidity
 

Hakuna anayekataa kuwa ni wabunge, ili sio kupitia cdm bali mamlaka ya spika fullstop.
 
Hivi ni kwanini mamlaka mbalimbali za utoaji habari wanawatambulisha hawa wabunge kuwa ni wa Chadema wakati hicho chama kimetangaza hadharani kwamba siyo wanachama wao tena?
 
Hakuna anayekataa kuwa ni wabunge, ili sio kupitia cdm bali mamlaka ya spika fullstop.
Walipitia cdm mlango wa nyuma. Mmeshindwa kulinda milango yenu na fensi (kama ipo) yenu. Akina mama wale wakawazidi ujanja, wakapita mlango wa nyuma. Katibu mkuu wenu akawawekea saini kwenye documents alizodhani ni za dili la kupiga pesa, kumbe zilikuwa documents za kupeleka NEC kama wateuliwa wa ubunge wa viti maalum! Siku documents hizo zitakapotolewa hadharani chama chenu kitapasuka vipande vipande. Na hapo utakuwa ndiyo mwisho wa chama chenu. Tuta wamisi sana!
 

Huu utoto uliiongea hapa kampelekee mkweo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…