Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Mods mpigeni ban huyu jamaa na wale wote walompa like. Matusi kama haya hayakubaliki, tena anayetukanwa ni Mheshimiwa Mbunge.Huyo Esther Matako ni Mbunge wa Ndugai
Mods mpigeni ban huyu jamaa na wale wote walompa like. Matusi kama haya hayakubaliki, tena anayetukanwa ni Mheshimiwa Mbunge.Huyo Esther Matako ni Mbunge wa Ndugai
Acha uwongo, Chadema hawana wabunge wa viti maalumu..Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Wewe ndiyo upigwe ban kwa kuwalazimisha Cdm kuwa na wabunge wasio chaguo lao.Mods mpigeni ban huyu jamaa na wale wote walompa like. Matusi kama haya hayakubaliki, tena anayetukanwa ni Mheshimiwa Mbunge.
Mazungumzo hayo muhimu yamefanyika leo Februari 10,2021 Bungeni Jijini Dodoma.
Mhesh Esther Matiko ni Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chadema na kabla ya hapo alikuwa Mbunge wa Jimbo la Tarime.
Chanzo: : Ofisi ya Waziri Mkuu
Mods mpigeni ban huyu jamaa na wale wote walompa like. Matusi kama haya hayakubaliki, tena anayetukanwa ni Mheshimiwa Mbunge.
Jf kimekuwa kijiwe cha vitoto vya ufipa nowadays
Ukweli ni kwamba wabunge wooote katika bunge la Jamhuri ni "Wabunge wa Kuteuliwa".Kuna maajabu gani na wote ni wabunge wa viti maalum CCM hapo. Mmoja aliingia Bungeni kwa kupita bila kupingwa mwinge ni kwa mgongo wa Ndungai.
Huyo ni wa CCMChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Madeni noma!!Kwa nini matusi?
Kama hamuitambui serikali iliyopo madarakani si muhame kama wenzenu Tundu na Lema, muwe wakimbizi tu.
Muwaache hao akina mama wachape kazi, acheni fitna,uchoyo na roho mbaya hapa.
Yaani watu wana hart wakati wa mapumziko unadai wamefanya mazungumzo... Mazungumzo yanafanyika ofisini, Siyo design hiyo.Mazungumzo hayo muhimu yamefanyika leo Februari 10,2021 Bungeni Jijini Dodoma.
Mhesh Esther Matiko ni Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chadema na kabla ya hapo alikuwa Mbunge wa Jimbo la Tarime.
Chanzo: : Ofisi ya Waziri Mkuu
View attachment 1699196
Hati miliki ya jf ipo kwa mama yako??Jf kimekuwa kijiwe cha vitoto vya ufipa nowadays
Heahima gani jomba wakati ruzuku tunapokea vizuri Tena inayotokana na wabunge hao...wewe ni Nani kuhoji hayaNadhani siyo sahihi kuendelea kuwaita wabunge kupitia chadema wakati unajua wakishafukuzwa uanachama na hivyo kukosa uhalali wa kuwa wabunge. Itendeeni haki chadema na.kuheshimu maamuzi ya yao. Nashauri wake wote tunaowataja wabunge hawa tuwatafutie namna nzuri ya kuwatambulisha.
Napendelea watambuliwe wabunge wa spika,au wakiopatikana kwa kuvunjwa katiba.
Ama wabunge maalumu wa bunge la jamhuri. Hawa hawawakikishi chama ,jumbo, wala si wabunge wateule wa Rais. Badala yake tungemuambia spika na Rais Magufuri watuambie kwa nini wameamua kuwawafujaji ,wabadhirifu wa pesa za watanzania kwa kuwalipa wabunge wasiokuwa na sifa ya kuwa wabunge?
ChademaMbunge wa chama gani huyo?
Mazungumzo hayo muhimu yamefanyika leo Februari 10,2021 Bungeni Jijini Dodoma.
Mhesh Esther Matiko ni Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chadema na kabla ya hapo alikuwa Mbunge wa Jimbo la Tarime.
Chanzo: : Ofisi ya Waziri Mkuu
View attachment 1699196
Kwa nini matusi?
Kama hamuitambui serikali iliyopo madarakani si muhame kama wenzenu Tundu na Lema, muwe wakimbizi tu.
Muwaache hao akina mama wachape kazi, acheni fitna,uchoyo na roho mbaya hapa.