Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,956
Wadau.
TAARIFA MUHIMUUU…… !!!!!!!!!?
Kuna nchi fulani ya Afrika nimeona kwenye taarifa ya habari ya jana jioni kuwa Rais wake ameiweka mihimili yote mitatu mfukoni kwake nikashangaa sana!
Kuna nchi fulani ya Afrika nimeona kwenye taarifa ya habari ya jana jioni kuwa Rais wake ameiweka mihimili yote mitatu mfukoni kwake nikashangaa sana!
Duh.Sio kwa maneno hayo.Bunge linashirikiana na rais kuficha ufisadi ulioibuliwa na CAG, bunge linakubali rais atumie pesa za umma nje ya budget iliyopitishwa na wawakilishi wa wananchi, bunge limechafuka wajibu wa kuisimamia serikali bali limekubali kusimamiwa na rais, kifupi ni bunge dhaifu kuwahi kutokea, spika dhaifu kiafya na kiakili
Hahhaahaa ww sio mpenda maendeleo..ww si mzalendo kbs .ni wivu tu😅Habari zingine ni kichefuchefu nisingefungua.
Muhimili wenye mzizi mrefu unapopigiwa magoti
Habari zingine ni kichefuchefu nisingefungua.