Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,409
Kabisa mkuu na jina lake linaanza na T
Hyo nchi itakuwa mpakani na hiz nchi za EAC
Hyo nchi itakuwa mpakani na hiz nchi za EAC
Tel Aviv😅Kabisa mkuu na jina lake linaanza na T
Ndiyo maana analishukuru sana.Bunge linashirikiana na rais kuficha ufisadi ulioibuliwa na CAG, bunge linakubali rais atumie pesa za umma nje ya budget iliyopitishwa na wawakilishi wa wananchi, bunge limechafuka wajibu wa kuisimamia serikali bali limekubali kusimamiwa na rais, kifupi ni bunge dhaifu kuwahi kutokea, spika dhaifu kiafya na kiakili
Tel Aviv
Ndiyo maana analishukuru sana.
Daaa nimeshangaa sana Jana kuona Bunge linaimba nyimbo zakumtukuza Magufuli..Nami naungana na Mh. Rais kulipongeza Bunge letu tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutekeleza wajibu wake kwa 100%.
Kuna nchi fulani ya Afrika nimeona kwenye taarifa ya habari ya jana jioni kuwa Rais wake ameiweka mihimili yote mitatu mfukoni kwake nikashangaa sana!
Habari zingine ni kichefuchefu nisingefungua.
Ulitaka uimbiwe wewe...Daaa nimeshangaa sana Jana kuona Bunge linaimba nyimbo zakumtukuza Magufuli..
Yaani Bunge Leo nilakusifia Rais mpaka kumuimbia na nyimbo zakumyukuza kweli!!!...