TAARIFA: Maendeleo ya Afya ya Kibanda

Hii nchi inatakiwa waombaji wa kuomba toba juu ya matendo haya machafu na mabaya. Mungu ni mwema atatusikia. Amen
 

Mkuu, wewe ni ndugu wa familia? mbona wakati ulimboka anatibiwa siri za matibabu yake hazikuvuja? AU MNAFANYA hayo yote kwa lengo la kuchochea maandamano. mimi ni Daktari na maadili yetu ya kazi haituruhusu kutoa siri za mgonjwa kwenye public. ninaamini hata madaktari wa South Afrika hawana tofauti na hapa kwetu kwani fani ni moja tu na tunafuata international standards code of conduct. ninaamini hizo si taarifa za kidaktari bali ni za watu ambao hukaa pembeni kuzusha mambo ili watu wote tuelekeze fikra huko
 
Asante kwa taarifa hii, tuendelee kumwombea mwenyezi Mungu ampe nguvu ya kuvumilia mateso anayopata Ndugu yetu Kibanda. Get well soon Kibanda.
 
wewe ni daktari uchwara full stop.umetrain chuo gani?
 
Mungu atakuponya Mr. Kibanda.
Inasikitisha, Tanzania tunaelekea wapi... nani atatusemea kama mdomo wa wanyonge (wanahabari) unashonwa kwa mnyororo wa chuma....

watatumaliza....
 
Pole sana Kaka yetu. Mungu wetu ni mwaminifu sana. Get well soon.
 
wewe ni daktari uchwara full stop,hapa ndio umeandika nini sasa bwana ?doctor
 
KOVA yuko tanganyika perkas anatafuta waliomtesa kibanda wakato wanaenda kutubu kwa mchungaji gwajima,fara kweli lakini malipo ni hapa duniani muache atumike kama condomu
 
Mkuu tofautisha uvumilivu na kutojitambua; Amini usiamini matukio ya kutekwa na kuteswa kwa waandishi wa habari na serikali ikiendeleza utamaduni wake wa kutoa majibu ya kukera, hayawezi tokea nchi yoyote ile isipokuwa Tanzania.

......

Hayo ndo majibu ya "sirikali sikivu" Mungu si dhalimu..., ipo siku mambo yatakuwa hadharani.
 
Ahsante kwa taarifa. Mungu amjalie pona ya haraka.
waandishi mue kitu kimoja katika hatua yoyote mtayokubaliana kuichukua..wachache wenye uwezo mkubwa wa kujipendekeza wasiwavunje moyo acha wajiabishe.
 

Huyu katumwa! Mwogopeni kama ukoma. Anaongea kwa jazba kwa lengo la kuficha siri.... Hana uchungu wowote!!!
 

Umesema sawa kua madaktari hamruhusiwi kutoa taarifa za mgonjwa kwenye public but huyu aliezitoa si daktar so hiyo international standard code of conduct haim-bani, hiyo moja, bt pili, daktar anaweza kutoa taarifa za mgonjwa kwa public kama mgonjwa mwenyewe ameridhia kufanyika kwa hilo... af kwann umekuja na jazba?labla ungeanza kwa kuuliza kama ana ruhusa ya mgonjwa au ndugu zake ya kutoa hizi taarifa...na pia cheo chake + ruhusa vinamruhusu kutoa taarifa hii au???
udaktari wako ni kama wa kina maji marefu au km wa ------?
 
Get well soon Kibanda, na namwomba Mungu wetu sote akaseme na nyoyo zetu mmoja mmoja tukakumbuke kwamba tusiwatendee wenzetu yale ambayo tusingependa kutendewa, pia tukumbuke faida na furaha tunayoitafuta kwa kuwakanyaga na kuwadhulumu wenzetu ni nya muda na mola hatasita kutupatiliza:crying:
 
ROMA alishasema tanzania 2na uoga ha2na aman.
2zidi kumshirikisha mungu ktk uta2zi wa matatizo haya
watanzania 2kopamoja ktk kipind hik kigumu, 2tazidi kukuombea.
 
Pole sana Bw Kibanda na tunashukuru kwa TAARIFA.
 
ROMA alishasema tanzania 2na uoga ha2na aman.
2zidi kumshirikisha mungu ktk uta2zi wa matatizo haya
watanzania 2kopamoja ktk kipind hik kigumu, 2tazidi kukuombea.

Hapa Mjukuu wangu umeandika kidigitali zaidi. HakyaMungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…