Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,402
- 927
Mkuu sio huyo.
Mpe pole sana.
nipo nae hapa,jamb kachanganyikiwa aise!anaona charminglady anaingia kwenye uhusiano taratibu huku yeye akiwa mahabusu ambayo unaona kinachoendela lakini huwez sema kitu.
nnachompendea huyu mwanamke charminglady ni tabia yake ya uwazi....maana angekuwa mwingine angenidanganya yuko single na huku anaendelea na wakati ndio sasa uzuri kwa mkono wake kaandika jinsi anavyo jisikia kuhusu uyo bwana na mimi nisivyo na hila wala ufisadi niacheni nifaidi penzi la mtoto charminglady
mkuu mpe pole sana, unajua msema kweli ni mpenzi wa Mungu. mie sikutaka kumpotezea muda. kiukweli sikuwah kumpenda wakati ndio sasa hata ukucha sasa kwanini ni-pretend. kwa sasa naamini huyv MtotoSix ndie chaguo langu na mi ndo ubavu wake. natumai shughuli itamkuta ashatoka kifungon!
nnachompendea huyu mwanamke charminglady ni tabia yake ya uwazi....maana angekuwa mwingine angenidanganya yuko single na huku anaendelea na wakati ndio sasa uzuri kwa mkono wake kaandika jinsi anavyo jisikia kuhusu uyo bwana na mimi nisivyo na hila wala ufisadi niacheni nifaidi penzi la mtoto charminglady
Baba V wakati huu hautaisha ni forever mtasubiri mpaka mtang'oka meno yote na mvi juu
nnachompendea huyu mwanamke charminglady ni tabia yake ya uwazi....maana angekuwa mwingine angenidanganya yuko single na huku anaendelea na wakati ndio sasa uzuri kwa mkono wake kaandika jinsi anavyo jisikia kuhusu uyo bwana na mimi nisivyo na hila wala ufisadi niacheni nifaidi penzi la mtoto charminglady
baba v mbona ivo ndugu yangu si uache jaman hee mwishowe uonekan wale wanaopaa na ndege zisizotumia mafuta,
Cl n mtoto six go on my dears hapa wakaaanga sumu hawakosi
We ulitaka asemeje kwan si amempa pole inatosha hebu bana bishanga ustake kuleta za kanyigoAma kweli wanawake mna roho mbaya sana.
Ama kweli wanawake mna roho mbaya sana.