kigumbe
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 168
- 63
Wadau,
Napenda mjue kuwa wapo watu wengi waliolipa hela kwa njia ya M pesa kwa bwana anaitwa Shirima kwa ajili ya certificate verification, wakaambiwa watapata barua za mkataba wa kuwa Civic Education Voters, ila mpaka leo siku ya deadline yao bado hawajatoa hizo barua na bado wametoa tangazo la extension hadi tar 23 August. Hawajibu SMS wala kupokea simu. Kama kuna mtu mwenye taarifa zaidi ya watu hawa atujuze.
Nawasilisha.
Napenda mjue kuwa wapo watu wengi waliolipa hela kwa njia ya M pesa kwa bwana anaitwa Shirima kwa ajili ya certificate verification, wakaambiwa watapata barua za mkataba wa kuwa Civic Education Voters, ila mpaka leo siku ya deadline yao bado hawajatoa hizo barua na bado wametoa tangazo la extension hadi tar 23 August. Hawajibu SMS wala kupokea simu. Kama kuna mtu mwenye taarifa zaidi ya watu hawa atujuze.
Nawasilisha.