Taarifa kwa wale wote wa NACTE

Taarifa kwa wale wote wa NACTE

Dah,!? NACTE inatakiwa watoe tu hizi selections maana tension iko juu, raia tumejaa sintofahamu,,,
 
Kuwepo kwa reset choice hakumaanishi kuwa hujachaguliwa. Usipochaguliwa lazima NACTE wakupe taarifa officially kuwa inabidi uchague kozi nyingine Na poa lazima wakwambie sababu iliyokufanya ukose nafasi katika hivyo vyuo. Sababu ya huyo reset option kutolewa Ni kuwa watu wamekuwa wakireset ovyo kwa hofu ya kutokuchaguliwa. Matokeo rasmi ya waliochaguliwa yatatolewa Na nacte Na pia watakao kosa na wataambiwa cha kufanya. Hata kama chuo kimetoa majina ya waliochaguliwa tafadhali subiri final say ya nacte kwenye profile yako.
 
Kuwepo kwa reset choice hakumaanishi kuwa hujachaguliwa. Usipochaguliwa lazima NACTE wakupe taarifa officially kuwa inabidi uchague kozi nyingine Na poa lazima wakwambie sababu iliyokufanya ukose nafasi katika hivyo vyuo. Sababu ya huyo reset option kutolewa Ni kuwa watu wamekuwa wakireset ovyo kwa hofu ya kutokuchaguliwa. Matokeo rasmi ya waliochaguliwa yatatolewa Na nacte Na pia watakao kosa na wataambiwa cha kufanya. Hata kama chuo kimetoa majina ya waliochaguliwa tafadhali subiri final say ya nacte kwenye profile yako.
da yan presha et vp kwa ambao atukuona iyo resert choise ndugu
 
Mi profile yangu mwanzon labisa juu imeandika kwamba naweza nadilisha muda wowote before 16 Oct na chini mwishon imeandika continue with application. So nashindwa kuelewa help please.
 
Mm mwanzoni reset ilokuwepo but jana nilipotaka kureseat hiyo option haikuwepo tena...tatizo ni nini jamani ndugu zangu?nahisi kizunguzungu cha nacte....
 
huu mwaka ni majanga,,,!
Yani TCU upandae wao wanaongelea 2nd selection, lakin kwa NACTE bado n kizungumkuti hata 1st selection hawajatoa kweny profile zetu, sasa hii inakuaje,!?
Na tar 26 mwezi huu vyuo kama SAUT vinaanza kupokea 1st yr,,,
Sasa hawa NACTE 1st selection zitaoneka lini kweny profile zetu? ili tujue tuu imekuaje, na hiyo 2nd batch ndo itakuwa lini sasa, vyuo vikishafunguliwa?
 
huu mwaka ni majanga,,,!
Yani TCU upandae wao wanaongelea 2nd selection, lakin kwa NACTE bado n kizungumkuti hata 1st selection hawajatoa kweny profile zetu, sasa hii inakuaje,!?
Na tar 26 mwezi huu vyuo kama SAUT vinaanza kupokea 1st yr,,,
Sasa hawa NACTE 1st selection zitaoneka lini kweny profile zetu? ili tujue tuu imekuaje, na hiyo 2nd batch ndo itakuwa lini sasa, vyuo vikishafunguliwa?
Vyuo vyote vinafunguliwa 9 november
 
mimi juzi nililiona jina langu kwenye ile link ya udom iliyokuwa kwenye excel format lakini kwenye yale majina yaliyokuwa kwenye pdf ambayo yalitolewa na udom jina langu sikuliona lakini hata sijashtuka sababu majina 16 hayapo ambayo yote yalikuwa kwenye ile link ya mwanzo(excel) wote ni kutoka nacte.Na watu wanaotoka nacte wanahitajika 22.sina hata wasiwasi sababu kama nililiona mwanzo natumahi hata second batch nitaliona

mkuu naomba unitumie hy doc ya excel kwa email yang maan m hata cku anfaliag hay najin
me email: peresbuhunile@gmail.com
 
Ntumieni jamani nisaidieni hyo Excel ya majina coz kweny web ya UDOM sioni jina langu
 
mimi juzi nililiona jina langu kwenye ile link ya udom iliyokuwa kwenye excel format lakini kwenye yale majina yaliyokuwa kwenye pdf ambayo yalitolewa na udom jina langu sikuliona lakini hata sijashtuka sababu majina 16 hayapo ambayo yote yalikuwa kwenye ile link ya mwanzo(excel) wote ni kutoka nacte.Na watu wanaotoka nacte wanahitajika 22.sina hata wasiwasi sababu kama nililiona mwanzo natumahi hata second batch nitaliona

Sasa hapo mbona ni utata mkuu, iweje majina mengine wayatoe mengine wasitoe na ikiwa yapo kwenye link ya exel? Nchi hii ina mambo ya ajab xana aisee
Mmi. Kwenye prof yangu ya nacte xjaandikiwa chochote cha kurekepisha but first batch ya vyuo nlivyochagua majina yametoka sipo. Sasa cjui tatizo ni nin
 
huu mwaka ni majanga,,,!
Yani TCU upandae wao wanaongelea 2nd selection, lakin kwa NACTE bado n kizungumkuti hata 1st selection hawajatoa kweny profile zetu, sasa hii inakuaje,!?
Na tar 26 mwezi huu vyuo kama SAUT vinaanza kupokea 1st yr,,,
Sasa hawa NACTE 1st selection zitaoneka lini kweny profile zetu? ili tujue tuu imekuaje, na hiyo 2nd batch ndo itakuwa lini sasa, vyuo vikishafunguliwa?

Ndugu mambo ni yale yale,TCU=NACTE.
haiwezekani TCU wawe wametoa majina yote ikiwa kuna vyuo ambavyo mpaka leo hawajatoa majina..
Na pia kaa ukielewa kwamba TCU NA NACTE wapo kwa ajili ya kuku update chochote kitakachotokea ila vyuoni ndio wapo na majina wanachagua list ya watu wanaowahitaji then ambao hawajachaguliwa kabisa majina yanarudi TCU NA NACTE hao sasa ndio wanaangalia wakusaidiaje iliwa vyuo ulivyochagua hujapata.
Kumbuka batch zote zilizotoka zina majina ya both TCU NA NACTE.
Hivyo kuna majina ya TCU NA NACTE ambayo mpaka leo hayajaonekan na hii ni kutokana na kwamba sio vyuo vyote majina yametoka hata first batch..
Sasa mimi nazani ni uzembe wa hivyo vyupo kuto kuya process majina mapema...
 
Back
Top Bottom