Taarifa kwa wale wote wa NACTE

Taarifa kwa wale wote wa NACTE

hangahanga

Senior Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
128
Reaction score
6
Kwa wale wote waliomba kupitia NACTE walioandikiwa FUTA MACHAGUO(reset choice) fahamu kuwa course zote ulizoomba zimejaa na huna budi kuchangua zngine kwa kuclick hapo na ukiclick hapo hutoweza kuziona tena zile course ulizoomba.so unachotakiwa kufanya ni kufuta hayo machaguo na kujaza course zngne mpya unazoona znafaa kwako.fanya hivyo mpaka 16.10.2015 saa 11.59
00.
 
UkiReset baadh kama sio vyuo vyote ulivyochagua mwanzo vinaondoka kwenye orodha ya selection ...!
 
Kama hamna sehemu reset kuna uwezekano mkubwa umechaguliwa, mfano mmi nimeona jina langu jordan, kwa hiyo punguzeni homa mambo yatakuwa poa
 
Kama hamna sehemu reset kuna uwezekano mkubwa umechaguliwa, mfano mmi nimeona jina langu jordan, kwa hiyo punguzeni homa mambo yatakuwa poa

Mkuu ngoja nivute subira nione mambo yapoje
 
Congratulation for successfully completed online
admission into Bachelor Degree in Tanzania.
 
Mi nimekuta kwene prfl yang wameniandkia hvo.....samahn wanamaanisha nn wakuu mwen
 
kama ndani haujaambiwa ureet choice inamaanisha umeshachaguliwa chuo kimoja wapo sema ndo hakijulikani ni kipi.Punguza presha
 
mimi juzi nililiona jina langu kwenye ile link ya udom iliyokuwa kwenye excel format lakini kwenye yale majina yaliyokuwa kwenye pdf ambayo yalitolewa na udom jina langu sikuliona lakini hata sijashtuka sababu majina 16 hayapo ambayo yote yalikuwa kwenye ile link ya mwanzo(excel) wote ni kutoka nacte.Na watu wanaotoka nacte wanahitajika 22.sina hata wasiwasi sababu kama nililiona mwanzo natumahi hata second batch nitaliona
 
Msaada mi mwanzo nimeingia nikakuta reset choices nimekuja kufungua tena hamna hyo option
Nimeshindwa kuelewa msaada plz
 
Back
Top Bottom