Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu madai ya walimu

haaaaa! uhakiki utakamilika baada ya miezi mitatu ijayo. hawa NECTA walioanza kuhakiki tangu mwezi wa 11, mpaka leo hawajakamilisha tu? na dabo wanahakiki tena kwa miezi mitatu ijayo!!!!! ama kweli nimeamini na nimethibitisha kua hili zoezi ni hewa na kufirisika kwa serikali ndio sababu ya mambo yote kusimama kwa sasa. serikali ya hovyo kabisa hii
 
CWT kazeni fungeni mikanda mkiona vp kazeni na kamba hizi blaaa blaaa msitake kuzskia.Uhakiki wa vyeti ulishafanyika toka November na walisema uhakiki wa uhakika utakua wa vitambulisho vya Taifa ambao pia uliisha na walisema huo ndo wa mwsho sababu umechukua taarifa zote hadi za kibaiolojia.Wanachokijibu saiv ni propaganda tu.Ukweli ni kwamba hawana hela ya kulipa madeni ya wafanyakazi.Na mashrikksho mengine ya wafanyakazi kazeni acheni uoga tangazeni mgogoro na serikali.UHAKIKI ni wimbo tu ingekua hawajamaliza wasingehama kwenda Dodoma.Nawashauri walimu hata kama CWT wakileta uoga nyie fanyeni mgomo wa baridi najua mna uweza sana.
 
Eti uhakiki wa vyeti utakamilika ndani ya miez 3 ijayo je kipi kipya kinachohakikiwa? Hakika hii ni mbinu ya kuchelewesha stahk za watumishi, semeni hamna hela za kulipa mnasubr bajet ya ijayo, uhakiki ni kichaka kinene sana! Kilichomo ndani ya kichaka wahusika wa mchakato mnakjua, uambieni umma achen blaa blaa nyingi!

KINACHOONEKANA NI KWAMBA MNAPOTEZA MUDA KWA KUDAI MNAHAKIKI VYETI, SEMENI MNATAKA MSOGEZE MUDA KUFKIA BAJETI IJAYO! LAKINI MJUE WATU TUMECHOKA NA HABARI ZENU ZA KUTUONA WATANZANIA NI WAJINGA!
 
CWT kazeni fungeni mikanda mkiona vp kazeni na kamba hizi blaaa blaaa msitake kuzskia.Uhakiki wa vyeti ulishafanyika toka November na walisema uhakiki wa uhakika utakua wa vitambulisho vya Taifa ambao pia uliisha na walisema huo ndo wa mwsho sababu umechukua taarifa zote hadi za kibaiolojia.Wanachokijibu saiv ni propaganda tu.Ukweli ni kwamba hawana hela ya kulipa madeni ya wafanyakazi.Na mashrikksho mengine ya wafanyakazi kazeni acheni uoga tangazeni mgogoro na serikali.UHAKIKI ni wimbo tu ingekua hawajamaliza wasingehama kwenda Dodoma.Nawashauri walimu hata kama CWT wakileta uoga nyie fanyeni mgomo wa baridi najua mna uweza sana.
NECTA walihakiki tangu mwezi wa 11. now wanataka kuhakiki nini!!!! kweli kabisa kimechobaki ni mgomo, maana huyu jamaa anataka ajifanye muungu
 
Eti uhakiki wa vyeti utakamilika ndani ya miez 3 ijayo je kipi kipya kinachohakikiwa? Hakika hii ni mbinu ya kuchelewesha stahk za watumishi, semeni hamna hela za kulipa mnasubr bajet ya ijayo, uhakiki ni kichaka kinene sana! Kilichomo ndani ya kichaka wahusika wa mchakato mnakjua, uambieni umma achen blaa blaa nyingi!

KINACHOONEKANA NI KWAMBA MNAPOTEZA MUDA KWA KUDAI MNAHAKIKI VYETI, SEMENI MNATAKA MSOGEZE MUDA KUFKIA BAJETI IJAYO! LAKINI MJUE WATU TUMECHOKA NA HABARI ZENU ZA KUTUONA WATANZANIA NI WAJINGA!
sio ndani ya miezi mitatu ijayo, bali baada ya miezi mitatu ijayo. means hata ikitumika miezi mitano, itakua ni baada ya miezi mitatu pia. hii ni hatari sana. seriakli imefirisika kabisa au kairuki ni mpiga dili, hivyo anataka apige dili za posho za hili zoezi hewa.
 
sasa kama sio mpigadili, kwanini mazoezi ya uongo hayaishi?
Ss ww unakosea, kwsabab serikali haitoi hela km ww unavyotoa hela ukienda mall kununua bidhaa!! However hii nchi ilioza in all sector, so in this case we should be careful in every stage yni!! Usishangae kna madai hewa humo
Upo?
~Cmb
 
Ss ww unakosea, kwsabab serikali haitoi hela km ww unavyotoa hela ukienda mall kununua bidhaa!! However hii nchi ilioza in all sector, so in this case we should be careful in every stage yni!! Usishangae kna madai hewa humo
Upo?
~Cmb
unaongea mambo hewa kabisa na unatetea hewa pia. mwezi wa 11 NECTA walihakiki vyeti vya watumishi wote wa umma. walikosea wapi ukizingatia kua wao ndio watabe wa kutabua vyeti feki na kipindi hicho walikua wanatafuta vyeti feki?
 
Mbinu za kupoteza muda tu sio kingne, wamejtahd sana kudanganya umma, miez 3 ijayo tunazungumzia June, mwez 1 bajet nyingne ktoka! Matumaini na serikali hii hayapo,
 
However hii nchi ilioza in all sector
ilioza wapi wakati kila kitu kilikua kinaenda poa kila secta. maisha yalenda safi kabisa, ajira zilikua zinatolewa kwa makumi elfu bila kubagua wasaa wala wa sayansi, mikopo elimu ya ilitolewa kwa almost wanafunzi wote, mishahara iliongezeka kila mwanzo mwaka wa fedha, n.k

mimi naona hii serikali ndio iliyooza. waliopita waliweza kufanya mambo ambayo hii serikali iliyooza imeshindwa kufanya. serikali hii ndio iliyooza, sio kusingizia kitu.
 
Tutakabidhi kila kitu kwa jeshi ili visiongelewe, mwisho serikali itakua ya kijeshi. Mambo yameanza kwa kunyamazisha vyombo vya habari.
 
Naomba Rais Magufuli awalipe walimu mwaka atakaoona unafaa, ikibidi wasilipwe kabisa iwe kama wamejitolea kwa taifa letu ili kusisitiza uzalendo. Walimu wa nchi hii wanashangaza sana
1.Hawapandishwi madaraja kwa wakati(cjui Mara ya mwisho lini)
2. Wengine wanaanza kazi wakiwa na elimu ya cheti baadae wanaenda kujiendeleza but wakirudi vituon wanaendelea kulipwa kama walimu wa ngazi ya cheti.
3. Ni taaluma/ajira iliosahaulika nchini
Ila ikifika wakati wa kampeni wanasahau taabu zao zote na kuchagua watu wale wale waliofanya yote haya.
Awamu hii mliahidiwa laptop, tuko mwaka wa pili wa muhula sasa.
Mhe boresha huduma zingine muhimu kwa wananchi, walimu wafanye walijitolea
Ferg
 
Back
Top Bottom