Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akitabasamu na Mtoto Gilbert Mezi (11) anayelekewa na kutunzwa kwenye kituo cha Huruma Missionary Sisters of Charity kilichopo Hombolo Dodoma
Dkt. Mpango na Mkewe walitembelea kituo hicho kuwafariji Watoto, Wazee na Watu wenye uhitaji maalumu ikiwa ni maadhimisho ya Jumatatu ya Pasaka wakiwapatia zawadi ya fedha taslimu, chakula na vinywaji
Dkt. Mpango na Mkewe walitembelea kituo hicho kuwafariji Watoto, Wazee na Watu wenye uhitaji maalumu ikiwa ni maadhimisho ya Jumatatu ya Pasaka wakiwapatia zawadi ya fedha taslimu, chakula na vinywaji