Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,235
- 4,765
UPDATES:
Komredi Humphrey Polepole amesema Kamati Kuu ya CCM imeelekeza Mkutano Mkuu wa Chama uitishwe haraka kujaza nafasi ya Mwenyekiti iliyoachwa wazi baada ya John Magufuli kufariki.
Mheshimiwa Rais Mama Samia tayari ameshawasili Lumumba kuhudhuria kikao hicho
Ni baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kitakachoketi kuanzia saa nane mchana leo
Mkutano utafanyika ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Dar es salaam.
Komredi Humphrey Polepole amesema Kamati Kuu ya CCM imeelekeza Mkutano Mkuu wa Chama uitishwe haraka kujaza nafasi ya Mwenyekiti iliyoachwa wazi baada ya John Magufuli kufariki.
Mheshimiwa Rais Mama Samia tayari ameshawasili Lumumba kuhudhuria kikao hicho
Ni baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kitakachoketi kuanzia saa nane mchana leo
Mkutano utafanyika ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Dar es salaam.