Ile picha inayosambaa ko ni uhongo, na huyo dada ken picha yupo? Kama yupo mbona hapokei simu toka jana... Hapa nipo na watu wakozi moja nae na wana namba ake, na ni group disc meet wao....
Hivi UDSM ndo imepoa to this extent kweliiiii????Enzi hizo kwa sisi tunayoifahamu UDSM,leo hii kungekuwa na maandamano ya kufa mtu kupinga upumbavu walioufanya hawa jamaa na si kuandika huu utumbo
Hivi UDSM ndo imepoa to this extent kweliiiii????Enzi hizo kwa sisi tunayoifahamu UDSM,leo hii kungekuwa na maandamano ya kufa mtu kupinga upumbavu walioufanya hawa jamaa na si kuandika huu utumbo