Taarifa kutoka Ikulu: Rais Magufuli kuzindua kitabu cha maisha binafsi ya rais mstaafu Benjamini Mkapa hapo kesho 12/11/2019

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
Wanafamilia,
Tafadhali soma kiambatanisho.
Karibuni.

FB_IMG_15734956466372157.jpeg
FB_IMG_15734955733262120.jpeg
 
Safi kesho wazalendo wanakutana

Nasubiria kwa hamu kubwa kusoma kitabu cha jiniasi Ben Mkapa,

Ila angeandika na nakala ya kiswahili ili Watanzania wengi tukisome


Maisha yake ya siasa toka anafanya kazi ikulu,balozi USA na mpaka kuwa Rais wa Nchi ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde

Sisi Watanzania tunamengi ya kujifunza kwa Mzee wetu Mkapa
 
Umuhimu wa hicho ulichokileta hapa upi sasa? Halafu usikute na wewe ni mtumishi wa umma; hivi nchi hii itaendelea iwapo watumishi mnaotegemea ndio hii sampuli yako?
 
Kibaraka habari?
Safi kesho wazalendo wanakutana

Nasubiria kwa hamu kubwa kusoma kitabu cha jiniasi Ben Mkapa,

Ila angeandika na nakala ya kiswahili ili Watanzania wengi tukisome


Maisha yake ya siasa toka anafanya kazi ikulu,balozi USA na mpaka kuwa Rais wa Nchi ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde

Sisi Watanzania tunamengi ya kujifunza kwa Mzee wetu Mkapa
 
Kuna vyama vinadai vinataka kuwakomboa watanzania, me nasema ni wapumbavu. Hii nchi ilishakombolewa na ASP na TANU
 
Naona Karume(mstaafu) ameamua kujitenga kabisa na mambo ya siasa.

Ma Rais wa Znz wakishastaafu wanakuwa wamestaafu kweli

Pamoja na kupata maradhi miaka ya karibuni lakin bado Dr Salmeen Amour alipostaafu basi alistaafu kweli

Mzee Idrisa Abdulwakeel alipostaafu hatukumuona tena kwenye majukwaa ya Kisiasa

The same to Karume

Lakin najua Mkwere Lazima awepo kwenye Kamati ya Ufundi 2020 kama alivokuwa Mzee Mwinyi 2005 na Mzee Mkapa 2015

Ma Rais wa staafu wa Bara huwa hawastaafu Siasa kama ilivyokuwa 1995 kwa Mstaafu mwingine alivyotupindulia Meza Boys II men kule kizota
 
Back
Top Bottom