Taarifa kutoka Bukoba wadau kifo cha Mtanzania huko USA

Jamaa amepigwa risasi na polisi baada ya kuwa anasumbua wateja kwenye restaurant kwa kuwaomba omba. Mmiliki wa Restaurant akapiga simu polisi na polisi alipofika alijitahidi kumtoa eneo lile na walipofika nje ya restaurant jamaa akaanza kugombea silaha na polisi na katika kujihami kama utaratibu wa kipolisi ulivyo duniani kote akapigwa shaba na kufariki baadae.

Nimefuatilia sana katika mitandao kuhusu habari yake na nimeona mahojiano ya mmiliki wa hotel na baadhi ya mashuhuda na picha za video toka anavyo disturb wateja (wengine mpk alikuwa anawapigia magoti). Hata wakati anapigwa shaba video zimeonyeshwa.

Sikujua alikuwa na matatizo gani mpk kufikia kufanya yale aliyoyafanya. All in all apumzike anapostahili
Si angerudi bongo ya nini mateso nchi za watu
 
https://www.macon.com/news/article261166287.html
Kuona ruhani wa marehemu rafiki yake kipenzi amekaa ktk kiti cha abiria ndani ya gari lake Rogers Kyaruzi hivyo kushindwa kuendesha gari kwa woga ikabidi apimgie simu mama yake mzazi Rogers Kyaruzi afike amwendeshe.

Bahati mbaya mama Kyaruzi alikuwa mbali, hivyo Rogers Kyaruzi akazidi kuchanganyikiwa na kuingia ktk restaurant akiwaomba customers wamsaidie kwa kuwa anaona mzuka wa rafiki yake unamuandama ni dalili za matatizo ya afya ya akili. Inaweza kuwa msongo wa mawazo, majeraha ya ubongo, madawa n.k

Matatizo ya afya ya akili yapo, tuombe msaada wa madaktari.

RIP Rogers Kyaruzi.


Kiongozi wa jumuiya ya Watanzania Atlanta Georgia aongea na kituo cha VoA juu ya mkasa huo wa kusikitisha



GBI Investigates Officer Involved Shooting in Atlanta​

MAY 05, 2022
Atlanta, GA (May 4, 2022) – The Georgia Bureau of Investigation is investigating an officer involved shooting in Atlanta, Georgia. The Atlanta Police Department asked the GBI to conduct an independent investigation on May 4, following a shooting that occurred at Roasters located at 2770 Lenox Road in Atlanta. One man has died. No officers were injured during the incident.

Preliminary information indicates that at around 2:45 p.m., an Atlanta P.D. officer was working an extra job, in uniform, near Roasters when he encountered a man, identified as Rogers Kyaruzi, age 30, of Lithonia. Kyaruzi had been expressing odd behavior prior to the incident and had followed a patron into Roasters where Kyaruzi was causing a disturbance.

The officer attempted to have Kyaruzi step outside of the restaurant and an altercation took place. During the altercation, Kyaruzi attempted to take the officer’s weapon, at which time the officer fired his weapon, hitting Kyaruzi. Kyaruzi was taken to Atlanta Medical Center where he was pronounced deceased.

The GBI will conduct an independent investigation. Once complete, the case file will be given to the Fulton County District Attorney’s Office for review.

Contact Public & Governmental Affairs Director​

Nelly Miles​

nelly.miles@gbi.ga.gov

Source : https://gbi.georgia.gov/press-releases/2022-05-05/gbi-investigates-officer-involved-shooting-atlanta
 
Huko US kuna shida gan wadau,

Ivi yule binti aliyedaiwa kumuua mama yake, kesi yake imefikia wapi
 
https://www.macon.com/news/article261166287.html
Kuona ruhani wa marehemu rafiki yake kipenzi amekaa ktk kiti cha gari lake Rogers Kyaruzi hivyo kushindwa kuendesha gari kwa woga kiasi apige simu mama yake mzazi Rogers Kyaruzi afike amwendeshe kisha kuingia ktk restaurant akiwaomba customers wamsaidia anaona mzuka wa rafiki yake unamuandama ni dalili za matatizo ya afya ya akili. Inaweza kuwa msongo wa mawazo, majeraha ya ubongo, madawa n.k

Matatizo ya afya ya akili yapo, tuombe msaada wa madaktari.

RIP Rogers Kyaruzi.


Kiongozi wa jumuiya ya Watanzania Atlanta Georgia aongea na kituo cha VoA juu ya mkasa huo wa kusikitisha

Dah inasikitisha sana aisee,hapo police atleast wangetumia nji nzuri zaidi ya kutumia risasi
 
R.I.P Rogers.
Utamaduni wa wahaya unapotea taratibu.
Kipindi cha nyuma Kuzika mhaya nje ya hayaland ilikuwa nadra sana.
Gharama za Kusafirisha mwili ni dola elfu kumi. Piga hesabu ni sh ngap kwa pesa za madafu
 
Jamaa amepigwa risasi na polisi baada ya kuwa anasumbua wateja kwenye restaurant kwa kuwaomba omba. Mmiliki wa Restaurant akapiga simu polisi na polisi alipofika alijitahidi kumtoa eneo lile na walipofika nje ya restaurant jamaa akaanza kugombea silaha na polisi na katika kujihami kama utaratibu wa kipolisi ulivyo duniani kote akapigwa shaba na kufariki baadae.

Nimefuatilia sana katika mitandao kuhusu habari yake na nimeona mahojiano ya mmiliki wa hotel na baadhi ya mashuhuda na picha za video toka anavyo disturb wateja (wengine mpk alikuwa anawapigia magoti). Hata wakati anapigwa shaba video zimeonyeshwa.

Sikujua alikuwa na matatizo gani mpk kufikia kufanya yale aliyoyafanya. All in all apumzike anapostahili
Mjasiriamali omba omba! Hizi tabia za kuombana bia mziache huku bongo kwa maprofeshino kama MWIJAKU, STEVE NYERERE, BABA LEVO nk sasa mkijifanya kwenda nazo kwa wenzetu mtazikwa sana, hii tabia hata Kenya tu haipo yaani hapa bongo jitu zima linatoka kwakw halina hata mia linaenda bar linaanza kuwapa watu vyeo utasikia ooh Mkurugenzi upo hebu moja hapa, au oooh Big boss niambie mtu mkubwa hebu nitupie mbili kwanza afu kuna mchongo ntakupa.....
 
Jamaa amepigwa risasi na polisi baada ya kuwa anasumbua wateja kwenye restaurant kwa kuwaomba omba. Mmiliki wa Restaurant akapiga simu polisi na polisi alipofika alijitahidi kumtoa eneo lile na walipofika nje ya restaurant jamaa akaanza kugombea silaha na polisi na katika kujihami kama utaratibu wa kipolisi ulivyo duniani kote akapigwa shaba na kufariki baadae.

Nimefuatilia sana katika mitandao kuhusu habari yake na nimeona mahojiano ya mmiliki wa hotel na baadhi ya mashuhuda na picha za video toka anavyo disturb wateja (wengine mpk alikuwa anawapigia magoti). Hata wakati anapigwa shaba video zimeonyeshwa.

Sikujua alikuwa na matatizo gani mpk kufikia kufanya yale aliyoyafanya. All in all apumzike anapostahili
Warudi nyumbani kulima. ”Ukishindwa maisha nyumbani, sahau kufanikiwa ugenini''
 
Mjasiriamali omba omba! Hizi tabia za kuombana bia mziache huku bongo kwa maprofeshino kama MWIJAKU, STEVE NYERERE, BABA LEVO nk sasa mkijifanya kwenda nazo kwa wenzetu mtazikwa sana, hii tabia hata Kenya tu haipo yaani hapa bongo jitu zima linatoka kwakw halina hata mia linaenda bar linaanza kuwapa watu vyeo utasikia ooh Mkurugenzi upo hebu moja hapa, au oooh Big boss niambie mtu mkubwa hebu nitupie mbili kwanza afu kuna mchongo ntakupa.....
Hiyo tabia ililetwa na Wacongoman. Ukimpa bia mbili anakuimba usiku kucha. Baadae wabongo tukaidaka tukawa zaidi ya wacongo
 
Mjasiriamali omba omba! Hizi tabia za kuombana bia mziache huku bongo kwa maprofeshino kama MWIJAKU, STEVE NYERERE, BABA LEVO nk sasa mkijifanya kwenda nazo kwa wenzetu mtazikwa sana, hii tabia hata Kenya tu haipo yaani hapa bongo jitu zima linatoka kwakw halina hata mia linaenda bar linaanza kuwapa watu vyeo utasikia ooh Mkurugenzi upo hebu moja hapa, au oooh Big boss niambie mtu mkubwa hebu nitupie mbili kwanza afu kuna mchongo ntakupa.....
Hahaha

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kumuona rafiki yake pembeni kwenye siti ndio chanzo cha kifo chake? Atakua alikua anatumia kilevi hasa drugs ndio huwa zinaleta marue rue kama hivyo.
 
Wahaya banaaa, sasa wanatutungia story marehemu alikua mjasiriamali, mara ana makampuni, mara amewaajiri wazungu.
Hivi mkisema ukweli mnapungukiwa nini?
Mnatutungia story hata mtoto mdogo akihadithiwa anaona kabisa ni uongo.
Utawaweza kwa misifa hao.
 
Gharama za Kusafirisha mwili ni dola elfu kumi. Piga hesabu ni sh ngap kwa pesa za madafu
Dola elf 10 hata milioni 30 haifiki sasa huko marekani wanafanya kazi gani si bora waje tubanane bongo hii.
 
wakishaingia marekani wabongo mji unawashinda,unatoboa sikio na kuvaa mi hereni ,ili iweje!! anyway hatujui nn kilimsibu ,namashaka huyu ni ngada zilimkataa
 
Back
Top Bottom