mjombo's
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 494
- 83
imani huja kwa kusikia, na usipende kujua kwa kushuhudia kila jambo coz mengine yatakuumiza, mke ni wako akiwa kwako wanasema ila mi simo. ushauri ni kwamba jaribu kuassociate matukio na relation yenu na huyo jamaa bila kujali kuwa mda mwingi unakuaga nae bcoz siku izi tunasema trust no one, hop so utajua ki2