Taarifa ikufikie ya kwamba.........

Taarifa ikufikie ya kwamba.........

Sio kweli wanawake wenye hiyo miaka 30-40 huwa wanajitambua sana tofaut na vitoto vya miaka chin ya hapo

Napinga na siungi mkono hoja
Miaka 30-40, bado unatafuta mchumba empty set kabisa. Dead line kuzaa 35, ndo maana mitoto inakuwa ya hovyooo
 
Sio kweli wanawake wenye hiyo miaka 30-40 huwa wanajitambua sana tofaut na vitoto vya miaka chin ya hapo

Napinga na siungi mkono hoja
Wnawake wa age hiyo huwa hawana mambo mengi. Yaan huwa hawana childish behaviours kama hawa wa 20's.. yaan wako straigh kuwa wanahitaj nn, na wanajituma pia.
 
Wengi wao nakutana nao wanademand japo kuwa na mtoto
 
Taarifa ikufikie hapo hapo ulipo ya kwamba 99.999% ya Wanawake wenye Umri wa kati ya miaka 30 hadi 40 huanzisha ' Mahusiano ' ya Kimapenzi na Wanaume ambao hawajawapenda Kidhati ( kutoka Moyoni ) ila hukubali kuanzisha Mahusiano ili tu ' wasichekwe ' na Wenzao au Jamii na kwamba huwa wana Wanaume zao ambao walikuwa wakiwapenda huko nyuma lakini hawakuolewa nao na kwamba hata kama wakiwa katika Mahusiano mapya wale wa nyuma ( waliokuwa wakiwapenda ) wakihitaji huduma ya Kingono basi watapewa muda na wakati wowote na mahala popote pale.

Mlio na Wapenzi / Wake wa hiyo miaka ' watch out '.

Nawasilisha.
Naona Shunie keshafanya yake.
 
Back
Top Bottom