Taarifa ikufikie hapo hapo ulipo ya kwamba 99.999% ya Wanawake wenye Umri wa kati ya miaka 30 hadi 40 huanzisha ' Mahusiano ' ya Kimapenzi na Wanaume ambao hawajawapenda Kidhati ( kutoka Moyoni ) ila hukubali kuanzisha Mahusiano ili tu ' wasichekwe ' na Wenzao au Jamii na kwamba huwa wana Wanaume zao ambao walikuwa wakiwapenda huko nyuma lakini hawakuolewa nao na kwamba hata kama wakiwa katika Mahusiano mapya wale wa nyuma ( waliokuwa wakiwapenda ) wakihitaji huduma ya Kingono basi watapewa muda na wakati wowote na mahala popote pale.
Mlio na Wapenzi / Wake wa hiyo miaka ' watch out '.
Nawasilisha.