Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Naomba nichukue nafasi hii kuwaarifu viongozi wetu wote wa chama ndani ya Dar na nje ya Dar es salaam kushusha bendera nusu mlingoti kufuatia kifo cha Mkt mstaafu Bob Makani, Kwataarifa zaidi tutawajuza baadae, ila kwasasa MNYiKA NA MZEE KIMESELA Wanajadiliana na familia ya marehemu.. R.I.P BOB MAKANI