Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Jamani mi nashangawa na taa za hapa jijini Arusha,huwa haziwaki kabisa usiku na kusababisha katikati ya jiji pawe na giza km nje ya jiji, ila cha ajabu wakiwepo wakubwa,taa huwa zinawaka mapema sana saa kumi na 12 jioni. Hatujui wanabana matumizi au nini kwa kuwa taa ni nzima kabisa. Wanatupunguzia hadhi ya jiji jamani.