Taa ya ajabu.. Sasa inachaji simu pia!!

futikamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2010
Posts
243
Reaction score
13
Hello JF,
Sasa taa ya ajabu inachaji Simu pia!!

  • Haitumii Betri
  • Haitumii umeme wa jua
  • Haitumii Mafuta ya Taa/Petroli/Dieseli
  • Waranti ya mwaka mmoja kwa kila manunuzi.
  • Ndogo na inabebeka

Crank Box
Inawasha taa kwa muda wa saa 1 kwa kubonyeza tu. Heh! Inachaji Simu pia.

Kwa TZS 20,000/= Unaweza kupiga simu na kupata mwanga wakati wowote na mahali popote kwa kubonyeza tu.

Je unahitaji kuwa wakala kwa bidhaa hii?
Wasiliana nasi
Tel: +255 222 618 217
Mobile: 0653 297681 au 0715 997688
E-mail: tanhompowersys@gmail.com

Je Unahitaji bidhaa hii?!
Tutembelee, Tupo mbezi Beach - Samaki Karibia kabisa na kituo cha daladala.
Karibuni.
 
Hivi hizo taa ndio kama zile zilizokuwepo kwenye vyumba vya kuhesabia kura?
 
Baada ya kutumika kwa saa moja, kinatokea nini?
 
Mkuu zimepanda bei?

Hapana mkuu wangu.
Bei ya taa za mwanzo ni ile ile 15,000/=. Hii taa ni mpya, inachaji simu ndio maana bei yake ni 20,000/=.
Karibu sana dukani kwetu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…