Habari wana jamii,
Ninagari aina ya nissan xtrail newmodel ya 2009 nimeinunua mwezi uliopita nilipoenda nayo rough road nikakuta chin inagonga balaa nilivyopeleka kwa fundi akasema stabilizing joint zimechoka na wish bone joint akabadili gari ikatulia lakin baada ya ile service pale walizalisha tatizo nikakuta kwenye dash board ile taa ya vdc na alama yake ile ya kuslip inaonekana kila nikianza kutembesha gari na kuna wakati naona kama matairi ya mbele yaanakwaruza kwaruza inafanya hivyo kwa sekunde chache then taa ya ABS inatokea baada ya hapo zinawaka constant mpaka ntakapofika ninakokwenda na brake zinakuwa zinashika kama kawaida tu niikizima nikiwasha tena tatizo linanza kujitokeza kama awali.
Hii hali inanikera nifanyaje ili niondoe hii shida.
Na siku hiyo wanabadilisha hizo stabilizing joints walibadili na brake pad pia maana zilikuwa zimeisha toka huko japan ilikokuwa inatumika.
Ninagari aina ya nissan xtrail newmodel ya 2009 nimeinunua mwezi uliopita nilipoenda nayo rough road nikakuta chin inagonga balaa nilivyopeleka kwa fundi akasema stabilizing joint zimechoka na wish bone joint akabadili gari ikatulia lakin baada ya ile service pale walizalisha tatizo nikakuta kwenye dash board ile taa ya vdc na alama yake ile ya kuslip inaonekana kila nikianza kutembesha gari na kuna wakati naona kama matairi ya mbele yaanakwaruza kwaruza inafanya hivyo kwa sekunde chache then taa ya ABS inatokea baada ya hapo zinawaka constant mpaka ntakapofika ninakokwenda na brake zinakuwa zinashika kama kawaida tu niikizima nikiwasha tena tatizo linanza kujitokeza kama awali.
Hii hali inanikera nifanyaje ili niondoe hii shida.
Na siku hiyo wanabadilisha hizo stabilizing joints walibadili na brake pad pia maana zilikuwa zimeisha toka huko japan ilikokuwa inatumika.