Taa nyekundu kwa wapinzani washiriki. Mpina mwenye kaupinzani kiduchu hatakiwi bungeni. Itakuwaje kwenu nyie wa vyama vingine?

Taa nyekundu kwa wapinzani washiriki. Mpina mwenye kaupinzani kiduchu hatakiwi bungeni. Itakuwaje kwenu nyie wa vyama vingine?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,276
Reaction score
38,847
Nyie wapinzani washiriki mmeona huko?

CCM wanataka bunge la pure and poor machawa. Nyie endeleeni kusindikiza ila kama Mpina ambaye ni mpinzani mwenye kaupinzani kiduchu ameenguliwa na hatakiwi itakuwa nyie pangu pakavu? CCM safari hii ndiyo imepania kabisaa kwamba haiachii kitu na ndiyo maana walianza na kugawana majimbo mapema.

Zitto aendelee kuota ndoto za kulinda kura wakati hata hizo kura za kulinda hazitakuwepo.
 
Waliamua kuwamalizaa upinzani na kuwafutiliaa mbali Kwa madai wanakwamisha juhudi zenu ,sawa wapinzani wakakubali kukaa pembeni mkaachwa wenyewe Kila sehemu ,Cha ajabu hakuna mlichofanyaa na Zaid Cha kushangaza mmeanza kukulana wenyewe Kwa wenyewee😀😀

Ngoja tuone mwisho wenu enyi CCM
 
Nyie wapinzani washiriki mmeona huko?

CCM wanataka bunge la pure and poor machawa. Nyie endeleeni kusindikiza ila kama Mpina ambaye ni mpinzani mwenye kaupinzani kiduchu ameenguliwa na hatakiwi itakuwa nyie pangu pakavu? CCM safari hii ndiyo imepania kabisaa kwamba haiachii kitu na ndiyo maana walianza na kugawana majimbo mapema.

Zitto aendelee kuota ndoto za kulinda kura wakati hata hizo kura za kulinda hazitakuwepo.
Ni balaa
 
Nyie wapinzani washiriki mmeona huko?

CCM wanataka bunge la pure and poor machawa. Nyie endeleeni kusindikiza ila kama Mpina ambaye ni mpinzani mwenye kaupinzani kiduchu ameenguliwa na hatakiwi itakuwa nyie pangu pakavu? CCM safari hii ndiyo imepania kabisaa kwamba haiachii kitu na ndiyo maana walianza na kugawana majimbo mapema.

Zitto aendelee kuota ndoto za kulinda kura wakati hata hizo kura za kulinda hazitakuwepo.
Huyo anaeagiza "wakatwe" naye HATOKUWEPO
 
Zitto aendelee kuota ndoto za kulinda kura wakati hata hizo kura za kulinda hazitakuwepo.

Mbinu walizotumia miaka yote nyuma na kuchakazwa vibaya...
 
Nyie wapinzani washiriki mmeona huko?

CCM wanataka bunge la pure and poor machawa. Nyie endeleeni kusindikiza ila kama Mpina ambaye ni mpinzani mwenye kaupinzani kiduchu ameenguliwa na hatakiwi itakuwa nyie pangu pakavu? CCM safari hii ndiyo imepania kabisaa kwamba haiachii kitu na ndiyo maana walianza na kugawana majimbo mapema.

Zitto aendelee kuota ndoto za kulinda kura wakati hata hizo kura za kulinda hazitakuwepo.
Acha wivu
 
Kwani Chauma wana mgombea Kisesa? Mpina anaweza kuwa kati ya wale 30 walioahidiwa.
 
Back
Top Bottom