Allineando
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,064
- 1,122
Syria au American na wapambe zake ndoo watakao leta vita mkuu?hii syria hii mh huenda ikaleta vita vya dunia
Syria au American na wapambe zake ndoo watakao leta vita mkuu?hii syria hii mh huenda ikaleta vita vya dunia
Kibao kimegeuka tokea ile 2006 war Israel walivyochapwa na Hezbollah's Heshima iko sasa tena kubwa mnooIsrael hatojaribu tena kuingiza mguu hapo kashaona sio pazuri.
Sio mchezo bhanaa, huyu ni zaidi ya mwanaumeIla bashar al asad ni kiboko mwaka wa 6 huu unaenda wa 7 anapigana vita na bado yupo stable.
Kwa hiyo wakaikomboa Golan au wewe ni ushabik maandazi tu ndio inakusumbua.we jamani ni mwongo ina maana mwaka 2006 hukuona israel jinsi walivyochakazwa na hezborah kweli ile vita iliyodumu siku 33 tu
Hiyo f 16 ni ya kisasa kweli mtoa uzi rudi ufafanue kwanza juu ya f 16 type ipi kwani yawezekana hiyo ni ile f-16 ya mwaka 1974. Hiyo si ndege ya kisasa km ulivyosema.Kumbe kwa syria ndege iliyoangushwa ni ya kisasa kabisa.....!