Swimming lessons/classes

Caoch Abel

Member
Joined
Feb 5, 2019
Posts
20
Reaction score
5
Hii ni kuwajulisha watu wote wenye nia,kwamba atimayr madarasa ya kuogelea yanaenda kukimbiza Dar es salaam.Madarasa ufanyika jumatatu adi jumapili kila wiki.Tunafundisha watoto na watu wazima,katika madarasa tofauti bila shaka! Gharama ni nafuu sana.piga simu au WhatsApp +255712547412 ili kujisajili siku nzuri kwako kujifunza na kwa maswali zaidi.kumbuka, hakuna zoezi kamili kama kuogelea na ni ujuzi mhimu wa kuishi nao Mbali na hayo sio vizuri tena kupumzika pande za pwani au kwenye swimming pool kwa kukaa kwenye viti au tenti bila kuingia ndani ya maji. Hebu tujifunze pamoja!!!.tufuate @swim_coach_abel @swim_coach_abel
 

Attachments

  • IMG-20190417-WA0024.jpg
    79.2 KB · Views: 34


For those of us that do not have pools at our homes, where are you planning on teaching us??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…