sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Dah km yanaruhusiwa itakuwa poa lol
Ntakuongeza wewe usaidiane na Amyner
Tobaaaaaa awe wa nane au?
Dah km yanaruhusiwa itakuwa poa lol
Ntakuongeza wewe usaidiane na Amyner
Hahaa kuaibika ni lazma...kwanza mtoto kachanganyikiwa hamjui baba yake
We unajifariji loya....pole sanaheheeh loya hajawahi kuchanganywa bana, si unaskia kuna rais wa sharobaro , rais wa wabeba mabox? sasa loya ni rais wa ma open marriage.
Gud moning sweetlady na Vin Diesel
heheeh loya hajawahi kuchanganywa bana, si unaskia kuna rais wa sharobaro , rais wa wabeba mabox? sasa loya ni rais wa ma open marriage.
Gud moning sweetlady na Vin Diesel
We unajifariji loya....pole sana
Mafiga matano ruksa sasa mchukue mwingine
We unajifariji loya....pole sana
Mafiga matano ruksa sasa mchukue mwingine
Tobaaaaaa awe wa nane au?
Vin Diesel akilog off tu ukuje kule nikufundishe kulia kinafiki msibaniGud morning asali wa moyo......mwambie huyo manake anachonga sana......hiyo gud morning nimeitika na ya Vin Diesel.
Teh teh hak ya mtoto imepotea..na yeye atakuwa na wanaume times five ya wa mama yake lol
Vin Diesel akilog off tu ukuje kule nikufundishe kulia kinafiki msibani
Teh teh mi sio klorokwini mwenye kila mtaa
Cheupe cheupe cheupe...hebu nikumbushe cheupe wa wapi teh fataki
Erickb52 kwanza mie choka na huo mlolongo wa watu juu ya sweetlady, mashine ya shost wangu nahisi ni VVT-I si mchezo katika huduma, na wala haina haja ya dna wala nini? sweetlady mwaya kitanda hakizai haramu, watajiju!Hahaa kuaibika ni lazma...kwanza mtoto kachanganyikiwa hamjui baba yake
sweetlady siwezi kosa my dear, sema mpasuo niliokuwa nimevaa na nyonyo nje ndio soo, katekista alinirudishia nje, si unajua cku hizi kanisa katoliki lipo siriaz mbaya na hivi vivazi?? ila kwenye ubatizo usijal fundi issa wa ilala anakamilisha dera langu! mpe hi kadogoo! na shemeji yangu Vin Diesel tutajuana kanisani nadhani.Vin Diesel ndie baba halali wa kadogoo, usijal cacico bado kidogo ntamtambulisha rasmi shemeji yako huyu.....nampenda sana......Mie good sana mpendwa......afu leo sijakuona kanisani ndo kusema hujahudhuria au?
Aliyemtwanga taraka mwenzake nani?Kesho nitakuwa na press konfrens ya kutangaza divorce ya Cantalisia na Rejao , faili la divorce yao limekamilika, source ya kuachana ni siri ya ofisi za loya
Erickb52 kwanza mie choka na huo mlolongo wa watu juu ya sweetlady, mashine ya shost wangu nahisi ni VVT-I si mchezo katika huduma, na wala haina haja ya dna wala nini? sweetlady mwaya kitanda hakizai haramu, watajiju!