Hii kitu wangeiweka kwa Albino wetu naamini mauaji yangepungua,tuwaombe hao mabwana wakubwa watusaidie ili kuokoa wenzetu hawa badala ya kuomba vitu visivyo na maana,kwa mfumo huo wa ki electronic albino wote wataweza kuwa accessible kwenye database moja,tutaweza kuwafuatilia walipo muda wote,naamini kabisa itapunguza kama si kuondoa kabisa janga hili.