shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Wana jamii kwanza nianze kwa kuomba samahani sina maana kuleta therad ya kubagua ndg zetu wenye asili ya asia hasa wahindi, lakini nataka tuweze kutambua na kuheshimu mchango wao katika uchumi wa nchi yetu, naomba tujadiri hili swala kwa kina kidogo kwa kuweka mifano.
1. KUCHANGIA UCHUMI:
Hakuna ubishi wahindi ndio wanashikilia uchumi wa Tanzania ukiangalia makampuni na viwanda vingi ni vya wahindi, kila kiwanda kimetoa ajira nyingi kwa watanzania, ukienda mikocheni industrial area, Nyerere Road na nk mida ya jioni na asubuhi utaona ninachongea, siwezi kuvitaja viwanda ni vingi sana, kuna viwanda vimeajiri watanzania mpaka 500 au zaidi. pia hulipa kodi kwa serikali kama VAT, CORPORATE TAX, INCOME TAX, P.A.YE. na NK.
Ukweli watanzania wengi hukimbilia kutafuta ajira hata akimaliza elimu ya chuo kikuu, ni wachache sana wenye maono ya kuwekeza au kufanya biashara ili atengneze ajira. Mfano, kuna kijana mwenye asili ya kihindi, lkn maisha yao ni ya kawaida sana, alifanikiwa kusoma degree ya uhasibu, baada ya kumaliza aliajiriwa kwenye makampuni kama miaka 4 hivi baada ya hapo alianzisha kampuni ya ku print, siwezi kuitaja hapa, kwa sasa ameajiri vijana wa kitanzania na kihindi wasiozidi 10, sasa ni boss ana pesa nzuri na ana maisha mazuri.
2. KUANGUSHA UCHUMI:
Kama ilivyo kwa mfanya bishara yoyote, lengo ni kutumia firsa yoyote atakayoipata kutengeneza faida, mfanyabishara yoyote mwenye malengo, ukimpa upenyo lazima ukuumize, mfano mfanyabishara anayenunua mazao, hata kama soko la mchele ni zuri kiasi gani, anaweza kuwa anauza bei ya jumla kilo 5000/= lkn mwananchi akisema anauza kilo 300/= angependa apunguziwe hata hiyo 300/=,
Mfanyabiashara yoyote hapendi msamiati unaoitwa kodi, kwaani kwa liosoma biashara au finance management wanajua kodi siyo asset bali na liability. Liability ni moja ya risk katika uwekezaji hasa zikiwa juu. Hivyo basi serikali ikiwa lege lege wahindi huweza kutumia opportunity hiyo kutengeneza faida.
Wahindi ni wajanja sana kwenye deal, wanajua kula na taasisi za serikali, wanajua kutengeneza faida. wanajua kujiweka karibu na watawala hata vyama vya siasa, ndiyo maana wakati wa uchuguzi wahindi huwekeza kwenye uchaguzi ili asichauliwe mtu atakayeweza kuharibu mifumo yao, (the one who can spoil their network) ndiyo maana tuliona magunia ya pesa yakikamatwa kule Dodoma na baadae POLISI waka tangaza eti pesa zilikuwa zinaenda kununua alizeti. Hao ndiyo wahindi.
Kila deal kubwa lazima muster mind awe mhindi. angalia EPA, ESCROW ACCOUNT, RICHMOND, MEREMETA na madubwasha yote makubwa lazima wapo, angalia orodha ya wafanya biashara walioweka pesa nje ya nchi, ukianza na ile orodha ya ZITO waliweka pesa huko USWISI na visiwa vya Uingereza utawakuta ni wahindi, hata orodha ya juzi ya visiwa vya PANAMA watanzania wote waliotajwa ni wahindi,
Kitendo cha kuhamisha pesa kwenda nje ya nchi kuna shusha thamani ya pesa ya nchi, kwaani itabidi ile local currency inunue pesa ya nje km DORA ya marekani, pound na nk. pia hupunguza fursa za uwekezaji ndani ya nchi. Mfano hiyo mipesa iliyowekwa tu huko nje ingewekezwa hapa nchini tungekuwa na viwanda vingapi? watanzania wangepata ajira kiasi gani?
ADUI NI NANI KABLA YA KUWALAUMU WAHINDI:
Adui namba moja ni serikali yetu na adui namba mbili watanzania wenyewe, hebu JUMRISHA pesa za EPA, ECROW, RICHMOND, MEREMETA na PESA AMBAZO MAKAMPUNI YA MADINI YANATANGAZA KUPATA HASARA KILA MWAKA huku ukweli wanapata faida kubwa sana, hizo pesa zote zinaenda nje ya nchi. watu wachache ndani ya serikali wamefaidika na wengine wamekuwa wabia kwenye makampuni ya nje.
Haya yote yamekuwa yakifanyika watanzania tukiwa kimya, watu wachache sana hujitoa mhanga kupambana kwa niaba yetu, lkn shukrani yetu imekuwa na kuwapiga chini hata kugombea ubunge, mfano, DAVID KAFURILA alipambana kwa niaba ya watanzania mpaka baraza la mawaziri likavunjwa, viongozi wengi walifuzwa, lkn shukrani yetu watanzania ni kumnyima kura kuridi bungeni kuendelea kufichua uozo wa serikali.
Dr, Slaa alijitolea kupambana na serikali, ndiye alisababisha watanzania tukaijua EPA na RICHMOND, lkn CHADEMA walipomfanyia fitina baada watanzania wengi tulimwita msaliti. Zittoa Kabwe aliwahi kufungiwa kuhudhuria bunge kisa aliwambai watanzania kuhusu ufisadi wa BUZWAGI, lkn matokeo yake mawaziri kadhaa waliachishwa nafasi zao, nafikiri wengi mnamkumbuka Nazir Kalamagi aliyesafikiri kwenda LONDON kusaini mkataba hotelini kwa niaba ya serikali.
Watanzania wengi tulifurahia kufungiwa kwa ZZK na Mh Samwel Sitta spika wa bunge wkt ule. Watanzania ni mambumbu, tunajua kulalamika tu, lkn kazi hakuna. Ukipata kibarua ruhusa kila wiki, mara babu mgonjwa, mara jirani msiba huku siyo kweli, mara nimechoka, mara tunaonewa tugome, malalamiko hayaishi.
1. KUCHANGIA UCHUMI:
Hakuna ubishi wahindi ndio wanashikilia uchumi wa Tanzania ukiangalia makampuni na viwanda vingi ni vya wahindi, kila kiwanda kimetoa ajira nyingi kwa watanzania, ukienda mikocheni industrial area, Nyerere Road na nk mida ya jioni na asubuhi utaona ninachongea, siwezi kuvitaja viwanda ni vingi sana, kuna viwanda vimeajiri watanzania mpaka 500 au zaidi. pia hulipa kodi kwa serikali kama VAT, CORPORATE TAX, INCOME TAX, P.A.YE. na NK.
Ukweli watanzania wengi hukimbilia kutafuta ajira hata akimaliza elimu ya chuo kikuu, ni wachache sana wenye maono ya kuwekeza au kufanya biashara ili atengneze ajira. Mfano, kuna kijana mwenye asili ya kihindi, lkn maisha yao ni ya kawaida sana, alifanikiwa kusoma degree ya uhasibu, baada ya kumaliza aliajiriwa kwenye makampuni kama miaka 4 hivi baada ya hapo alianzisha kampuni ya ku print, siwezi kuitaja hapa, kwa sasa ameajiri vijana wa kitanzania na kihindi wasiozidi 10, sasa ni boss ana pesa nzuri na ana maisha mazuri.
2. KUANGUSHA UCHUMI:
Kama ilivyo kwa mfanya bishara yoyote, lengo ni kutumia firsa yoyote atakayoipata kutengeneza faida, mfanyabishara yoyote mwenye malengo, ukimpa upenyo lazima ukuumize, mfano mfanyabishara anayenunua mazao, hata kama soko la mchele ni zuri kiasi gani, anaweza kuwa anauza bei ya jumla kilo 5000/= lkn mwananchi akisema anauza kilo 300/= angependa apunguziwe hata hiyo 300/=,
Mfanyabiashara yoyote hapendi msamiati unaoitwa kodi, kwaani kwa liosoma biashara au finance management wanajua kodi siyo asset bali na liability. Liability ni moja ya risk katika uwekezaji hasa zikiwa juu. Hivyo basi serikali ikiwa lege lege wahindi huweza kutumia opportunity hiyo kutengeneza faida.
Wahindi ni wajanja sana kwenye deal, wanajua kula na taasisi za serikali, wanajua kutengeneza faida. wanajua kujiweka karibu na watawala hata vyama vya siasa, ndiyo maana wakati wa uchuguzi wahindi huwekeza kwenye uchaguzi ili asichauliwe mtu atakayeweza kuharibu mifumo yao, (the one who can spoil their network) ndiyo maana tuliona magunia ya pesa yakikamatwa kule Dodoma na baadae POLISI waka tangaza eti pesa zilikuwa zinaenda kununua alizeti. Hao ndiyo wahindi.
Kila deal kubwa lazima muster mind awe mhindi. angalia EPA, ESCROW ACCOUNT, RICHMOND, MEREMETA na madubwasha yote makubwa lazima wapo, angalia orodha ya wafanya biashara walioweka pesa nje ya nchi, ukianza na ile orodha ya ZITO waliweka pesa huko USWISI na visiwa vya Uingereza utawakuta ni wahindi, hata orodha ya juzi ya visiwa vya PANAMA watanzania wote waliotajwa ni wahindi,
Kitendo cha kuhamisha pesa kwenda nje ya nchi kuna shusha thamani ya pesa ya nchi, kwaani itabidi ile local currency inunue pesa ya nje km DORA ya marekani, pound na nk. pia hupunguza fursa za uwekezaji ndani ya nchi. Mfano hiyo mipesa iliyowekwa tu huko nje ingewekezwa hapa nchini tungekuwa na viwanda vingapi? watanzania wangepata ajira kiasi gani?
ADUI NI NANI KABLA YA KUWALAUMU WAHINDI:
Adui namba moja ni serikali yetu na adui namba mbili watanzania wenyewe, hebu JUMRISHA pesa za EPA, ECROW, RICHMOND, MEREMETA na PESA AMBAZO MAKAMPUNI YA MADINI YANATANGAZA KUPATA HASARA KILA MWAKA huku ukweli wanapata faida kubwa sana, hizo pesa zote zinaenda nje ya nchi. watu wachache ndani ya serikali wamefaidika na wengine wamekuwa wabia kwenye makampuni ya nje.
Haya yote yamekuwa yakifanyika watanzania tukiwa kimya, watu wachache sana hujitoa mhanga kupambana kwa niaba yetu, lkn shukrani yetu imekuwa na kuwapiga chini hata kugombea ubunge, mfano, DAVID KAFURILA alipambana kwa niaba ya watanzania mpaka baraza la mawaziri likavunjwa, viongozi wengi walifuzwa, lkn shukrani yetu watanzania ni kumnyima kura kuridi bungeni kuendelea kufichua uozo wa serikali.
Dr, Slaa alijitolea kupambana na serikali, ndiye alisababisha watanzania tukaijua EPA na RICHMOND, lkn CHADEMA walipomfanyia fitina baada watanzania wengi tulimwita msaliti. Zittoa Kabwe aliwahi kufungiwa kuhudhuria bunge kisa aliwambai watanzania kuhusu ufisadi wa BUZWAGI, lkn matokeo yake mawaziri kadhaa waliachishwa nafasi zao, nafikiri wengi mnamkumbuka Nazir Kalamagi aliyesafikiri kwenda LONDON kusaini mkataba hotelini kwa niaba ya serikali.
Watanzania wengi tulifurahia kufungiwa kwa ZZK na Mh Samwel Sitta spika wa bunge wkt ule. Watanzania ni mambumbu, tunajua kulalamika tu, lkn kazi hakuna. Ukipata kibarua ruhusa kila wiki, mara babu mgonjwa, mara jirani msiba huku siyo kweli, mara nimechoka, mara tunaonewa tugome, malalamiko hayaishi.