Kwanini asiolewe?kuhusu wanaume kutaka vipya,huwa ni sehem ya utoto tu...ukikuwa unaelewa kuwa upya si muhm kama ulivyokuwa unafikiri.Mwezi uliopita...niliudhuria harusi ya nayemfaham...binti anamiaka 36 sasa ha hana mtoto...hata anayemuoa hana mtoto.