Swali naomba jibu

Swali naomba jibu

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.

Je ni kweli anaweza kuacha kabisa???
 
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.

Je ni kweli anaweza kuacha kabisa???

Uko wapi? Nimeipata hii stori mahali!
 
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.

Je ni kweli anaweza kuacha kabisa???

Jee wewe ulie tendewa utakua na amani pindi unapokua Kazini au safarini au Akikwambia anakwenda Harusini, msibani anakwenda kwao kutembea? Ukiwa na amani na hayo na utampenda kama zamani na kumuamuni tena , wala huitaji Msaaada wa JF....
 
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.

Je ni kweli anaweza kuacha kabisa???

Pole sana Nduka Original.
Lakini kunajambo hunishangaza sana kwa hao wamama/ wake, wao husamehe hata wanapo fumania laivu bila chenga, tena kiroho safiii.....
 
Last edited by a moderator:
Hivi uki prove mke wako katembea nje na mwanaume ambae ni rafiki yako.
Nae akakiri kwamba kweli kafanya na akaomba msamaha na kusema ata acha na kuapa.

Je ni kweli anaweza kuacha kabisa???

Msamehe tuu itakuwa ni demons na tamaa zimemfanya awe hivo...! Unampa mapendo ya kweli lakini..? Koz kama haumfundi vyema inaweza ikawa chanzo cha kutafuta vya nje...? Ama uyo mshkaji wako wana background ya kupendana
 
Achana naye, mcha asili aachi asili, kama alivyosema mdau, mlaji aachi kula, caution!! Isijekuwa wew ndo chanzo mana mara nyingi wanawake huwa waaminifu kuliko sisi, those odds!!
 
Nawe tafuta demu wa rafik yako umgonge mmalizane
 
Back
Top Bottom