Swali: Mnaotengeneza unga wa lishe

JembeNaNyundo

JF-Expert Member
Dec 9, 2016
532
646
IMG_2754.JPG
Mimi kwa elimu ndogo niliyonayo ninashangaa kiwanda kinatengeneza unga wa lishe kwa kuchanganya mchele, mahindi, ulezi, soya, maharage n.k.

Kuna logic gani ya kuweka ulezi, mahindi na mchele wakati vyote ni wanga? Au mnataka ladha?
 
mkuu usipende kukosoa sana kuliko kujifunza. very simple juc google ingredients za kila aina ya type of food iliyoko humo then ukosoe.
 
we hata bashite anakuzidi,hujui kuwa soya ina protin na mahindi yana starch,?hapo kila kitu na umuhimu wake
mkuu usipende kukosoa sana kuliko kujifunza. very simple juc google ingredients za kila aina ya type of food iliyoko humo then ukosoe.

Mtoa maada yuko sahihi kabisa.
Kuchanganya aina tofauti za wanga mara nyingi huweza kumsababishia mtoto kupata choo kimoja. Inashauriwa kama ni wanga weka aina moja then changanyia na aina nyingine ya vyakula.
 
Back
Top Bottom