Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
..Utakuta na STJ zinapaki kufanya manunuzi siju ndio nini?kama ubungo ni hatari sana maana soko lipo high way hivyo gari likosea kidogo lazima lile vichwa ukiongeza na songas ndo balaa tupu selikari iko wap kwa haya mambo au wanasumbili ajali ndo wajue!