Swali: Maji ya bahari huenda wapi?

Yanaenda kucheza, yakichoka yanarudi.

[HASHTAG]#najuakusomanakuandikatu[/HASHTAG]
 
QUOTE]
Sio kweli hayo maelezo yko unaoneka hata hilo LA NNE hukusoma au ulikuwa mtoro kipindi
 
mbona Rahisu sana maji ya bahari yenyewe hutokana na na vyanzo vingi kama mvua na mito ila maji ya bahari huondoka kipindi cha jua kali kwa mtindo wa mvuke na kwenda kuunda mawingu ambayo husukumwa na upepo na kwenda nchi kavu napo hunyesha tena kama mvua na kuingia kwenye vyanzo
Sawa kabisa mkuu, vyanzo kama maziwa, chemchem milimani, kuingia mitoni mpaka baharini, toka baharani kwenda juu mawinguni, kuleta mvua, and the cycle continues, ila prof maji marefu na mzee wa loliondo wana maelezo ya kueleweka zaidi kutokana na jamii tuliyonayo!
 
Rejea physical Geograph ya form three..na kidogo from one na two...majibu utayapata
 
Hii ni geography kidato cha kwanza. Kupwa na kujaa kwa maji baharini ni kutokana na nguvu ya mvutano kati ya dunia na mwezi.
 
Because of magnetism,in nature btn earth,moon,sun itself they tend to pull each other thats why my occur the so.called Tides.This occur seasonally thats why we have differnt types of tydes like neap tides.
 
Yanapopungua ukanda huu kuna ukanda mwingine yanaongezeka. Na ukumbuke bahari ni moja dunia nzima, yani bahari zimeungana.
 
Inasababishwa na mwezi... Sijui kama naweza elezea vizuri kwa kiswahili ... Mwezi una gravitation pull ambayo inavuivuta dunia, ila maji ni rahisi kusogea kuliko ardhi ndo mana tunaona maji yanasogea...

Yaani upande wa dunia unaoangalia mwezi unaexperience kitu kinaitwa tidal force kinachofanya maji yasogee kuelekea kwenye mwezi.

tides2.png


Source: NOAA/NASA
NOAA/NASA SciJinks :: What causes tides?
 
Kwan darasa la nne A.. hukusoma kupwa na kujaa kwa maji bahari ambayo inasababishwa kani ya msukumo kati ya dunia na mwezi... au mwenzetu ulisoma ualimu pasipo elimu (UPE)
Elimu yetu hii jamani! Ukute mwalimu hakumaliza syllabus
 
Back
Top Bottom